List: Wachezaji 10 Bora wa Mpira wa Miguu wa Muda Wote!

Mkuu hamna cha ajabu mesi alichokifanya. Yaan kwa miaka zaidi ya 28 hajabeba kombe la Nara lake wala kombe la dunia anaingiaje kwenye list hiyo?, hapo ndio nakosa imani na walioandaa list hiyo

Pia mtu kama ronaldinho anakosaje hapo?

Mkuu umehit some point hapo...kwenye hiyo list Messi kuanza si vyema naona labda Huyo mwandishi wa hiyo habari kwenye link ile ana mahaba binafsi na messi...mimi namkubali messi kwa zile dribble zake but hili lilishafanywa ata na maradona akiwa Napoli akuna jipya...na kama ishu ni goals kwenye hiyo list CR7 ndo goals machine yao hivyo sitegemei messi kuwa kwenye top-5 labda anaweza kuwa kwenye 5-10....tofauti na hapo sidhani kama kuna usawa.
 
Kijana wangu Pionaire Niliitazama Hii post juu juu kumbe ni weewe rafiki yangu...Hahahahaaa Nimechekaa naona leo umekubali kumweka LEO10 mbele ya CR7! Pongezi sana Mkuu!

Hahaha!...sivyo hivyo ulivyoelewa wewe...kilichofanya messi aanze hapo mbele ya Cr7 ni KWAMBA UKIANGALIA KATI YA HAO WACHEZAJI WA KWENYE HIYO LIST WENGI WAMESHASTAAFU SOCCER ILA LEO10 NA CR7 NDO BADO WAPO ACTIVE LAKINI IPO WAZI KUWA RONALDO NOWDAYS AMEKUWA COMPLETE GOAL SCORER NA KUNA VITU BAADHI AMEACHA KUFANYA KAMA ZAMANI NAFIKIRI NI SWALA LA AGE LINAANZA KUMSUMBUA KULINGANISHA NA MWENZIE INGAWA NA MESSI NAE AMEDROP SIO KAMA WA 2009/2010/2011...BINAFSI ILI MCHEZAJI NIMWITE WA SAYARI NYINGINE NAPENDA AWE NA DRIBBLES KAMA ZA MESSI ALAFU AWE NA SCORING ABILITIES KAMA ZA RONALDO...Huyo kwangu ndo "Nitamwita Sio Wa dunia hii"...Na kiuhalisia bado sijaona mchezaji mwenye vyote hivyo kwa pamoja.
 
RONALDO DE LIMA: Ataja Kikosi chake cha Wachezaji 11 Bora wa muda wote.

Mkongwe wa soka Ronaldo De Lima ametaja Kikosi chake cha wachezaji kumi na moja (First Eleven) Cha muda wote Huku kikosi hiko kikiwa Hakina Mwingereza hata mmoja huku Pia Cristiano Ronaldo akiwa Hayupo katika kikosi Hiko.
Ronaldo amechagua Wabrazil wanne akiwemo yeye mwenyewe, Pele, Roberto Carlos na Cafu, Wengine ni Paulo Maldini, Fabio Cannavaro , Pirlo ,Zinedine Yazid Zidane, Messi na Maradona Kipa Akiwa ni Buffon


 
Mkuu wewe ni Kipenzi cha CR7 tu ila kiuhalisia ambao huezi tuambiaa sisi unakubali kwamba Messi is More than CR7
 
Sensitive Kweli Nafikiri Tuirekebishe tumtoe Xavi!

Kiukweli xavi hastahili kuwepo kwenye hiyo list ikiwa tu kuna wakali kama RONALDO NAZARIO HAWAPO NDO XAVI AINGIE KWELI???...HAPANA HIYO HAILETI SENSE MKUU.
 
List ya TFF hii,kuna watu hapo km dinyo, hawaonekani kvp

Wewe Jamaa umenichekesha kweli...eti list ya TFF hii, Duh!..yani malinzi katia mkono Hadi kwenye list ya wachezaji bora Wa soccer duniani.
 
Wewe umemaliza kila kitu. Hakuna cha kuongezea hapo.
 
Hadi sasa kombe la mabara Mmoroko ana goli 2 moja ni la penat SASA KIPI CHA KUSHANGAZA wakati alipokutana na miamba ya Ki Mexico alishindwa kufurukuta

Labda hujamuelewa Jamaa alichosema...maradona kavua kofia kwa CR7, Jaribu kuelewa kijana.


 
Hivi watu hamjui tu pele alikua mbovu acheni tu msilishwe maneno ya kale,,maradona mwenyewe kamzidi pele pakubwa sana,,

Ebu acha kudanganya watu wewe...usifikiri kila mtu ni kanyaboya apa JF...PELE ALIKUWA FABULOUS PLAYER...malegend wenzake wanamsujudu alafu wewe unaleta uongo wako Wa waziwazi hapa...umeshindwa kuzuia mahaba yako kwa wachezaji Wa Argentina sio???


 
Unamuachaje RONALDO LUIS NAZARIO DE LIMA eti kwenye list yupo cr7 xavi aiseee ni kumkosea heshima jamaa ana 3 balon d'or copa america winner world cup winner golden boot 2002 Korea and Japan duuuh

Yaniii Huyo mkali NAZARIO NDO NAFIKIRIA AMTOE NANI HAPO KWENYE HIYO LIST YA JAMAA MAANA NAYE KAFANYA MAKUBWA...ALAFU UNAMKUMBUKA MARCO VAN BASTEN???
 
Nadhani Pele na Cruffy ungewaondoa hapo maana wao ni kama founders wa maujanja wanayofanya hao kina mess na ronaldo kifupi ndio true legend wa soka na beck pamoja na di stefano

Yani Mkuu najaribu kufikiria ATOKE NANI KWENYE LIST ALIYOLETA MTOA MADA...KWA MAANA KUNA WAKALI KIBAO BADO WAMEACHWA NJE UNAMKUMBUKA "MARCO VAN BASTEN" MOJA YA KIZAZI CHA DHAHABU KABISA KATIKA HISTORIA YA SOCCER KUTOKEA UHOLANZI NAFIKIRI HUYU NDO NUMBER ONE ICONIC OF NETHERLAND(UHOLANZI).

 


Anaitwa Johan cruyf Ndio Mchezaji Bora wa muda wote wa Uholanzi







akifuatiwa na Marco van Basten


 
Messi anaingia vipi kwa PELE? Yan hata robo haingii..

Kipele hana chochote. Hata kwa mwalabu zidane hafiki,,, mwisho wa yote KING MESSI AND KING DIEGO watabakia kuwa wafalme daima,,,,
 
Messi anaingia vipi kwa PELE? Yan hata robo haingii..


Kamanda wangu eeee,,,,hayo uyasemayo ni maneno yako binafc na co kutoka FIFA.


Kwanza uyo kipele hata kwa zidane haguc,,sema media zinamlinda kutokana na umri wake.alakini kisoka
1-KING MESSI atabakia kuwa baba lao,,,,, toto la kiargentina from rosario central,,,,

2- DIEGO ARMANDO from Lanus Argentina,,,huyu mhuni ataendelea kukumbukwa kwa mingi alioyafanya katika era yake. 2meshuudia Kacheza muda mfupi mno alakini kalets prosperity kubwa kuwahi kutokea kwa player yoyote 2naemjuwa except KING MESSI alone.




1-Asante KING LEO10 from Rosario
2-Asante KING DIEGO10 from Lanus
3-Hakuna
4-n.k

Mkuu ticket ni kiac gani mpaka wanapoishi awa wafalume????πŸ˜›πŸ˜›πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…