List ya Baadhi ya Wasanii/watu Maarufu waliopata Deals/Ubalozi/Endorsement kutoka kwenye Makampuni

List ya Baadhi ya Wasanii/watu Maarufu waliopata Deals/Ubalozi/Endorsement kutoka kwenye Makampuni

Mobetto - Startimes, poa Tv, freestyle, petroleum jelly (nimesahau jina)...

IDRIS kuna Alaf na unicef ...

Kupata deals inategemea

1. power of influence, unaezaje fanya mtu areact ili kudeliver results. Wataangalia fan base yako na engagement yako kwao. Na social media zipo, kazi inakuwa rahisi..

Hapa Diamond, Idris, Mobetto na Vee naona wapo vizuri

2. Relevance, je brand yako inaendana na brand ya kampuni (kiufupi muwe mna_serve same audience)..

"wasanii wengi hawajui hata brand zao ni zipi na target audience yao ni ipi"..

hapa vee, Diamond, mobetto, Idris, Nandy hata Gigy money wanaeza kuwa winners

3. Reputation, kupewa mtu kazi af kesho ufanye ujinga utaharibu image hadi ya kampuni..
hapa wasanii ni most victims wakiongozwa na dada wema

4. Connection, wengine hapa ni kupewa kazi sababu anajuana na managers wa kampuni flani so inakuwa rahisi kupata kazi. Networking na personality ya msanii hapa ndo inaingia..

Nimetaja wasanii kwa uchache na kwa machache nayojua
 
Hapo pa diamond ongezea na DSTV enzi hizo,kuna kipindi hicho DIAMOND KARANGA,Kuna ROIKO mchuzi miX kuna TURKISH AIRWAYS nk.

Halafu hapo katika suala la endorsements
Kuna main official ambassador na mawakala

Wengi hapo ni mawakala tu,wanaishia kuposti huduma za kampuni kupitia social media zao,ila wanakuwa hawapokwenye jingles na posters za matangazo ya kampuni.

Ni wachache ambao face zao zinatumika directly kama kina joti, diamond na wengine wachache.

And the winner is Diamond platinumz.
 
Hapo pa diamond ongezea na DSTV enzi hizo,kuna kipindi hicho DIAMOND KARANGA,Kuna ROIKO mchuzi miX kuna TURKISH AIRWAYS nk.

Halafu hapo katika suala la endorsements
Kuna main official ambassador na mawakala

Wengi hapo ni mawakala tu,wanaishia kuposti huduma za kampuni kupitia social media zao,ila wanakuwa hawapokwenye jingles na posters za matangazo ya kampuni.

Ni wachache ambao face zao zinatumika directly kama kina joti, diamond na wengine wachache.

And the winner is Diamond platinumz.
hahahahhaha sawa
 
UKIWA NA MANAGEMENT NZURI NA UNAJITAMBUA UTAPATA SANA DILI HIZI
YULE WA KUJIONA HAJIELEWI NDO MANA WATU WANAMPIGA CHINI
halafu pamoja na hayo bado unakuta kakuchapa maisha,umaarufu,na kuaminiwa na watu.

na bado kawazidi kipato asiliamia 99 ya wote waliiorodheshwa hapo.maisha ni kuishi sio kuigiza bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
halafu pamoja na hayo bado unakuta kakuchapa maisha,umaarufu,na kuaminiwa na watu.

na bado kawazidi kipato asiliamia 99 ya wote waliiorodheshwa hapo.maisha ni kuishi sio kuigiza bro.

Sent using Jamii Forums mobile app
Inawezekana mkuu ndio maana anadaiwa na producer pamoja na kukaa na label ambayo haina MIKATABA ya kueleweka kwa wasanii
 
Hapo pa diamond ongezea na DSTV enzi hizo,kuna kipindi hicho DIAMOND KARANGA,Kuna ROIKO mchuzi miX kuna TURKISH AIRWAYS nk.

Halafu hapo katika suala la endorsements
Kuna main official ambassador na mawakala

Wengi hapo ni mawakala tu,wanaishia kuposti huduma za kampuni kupitia social media zao,ila wanakuwa hawapokwenye jingles na posters za matangazo ya kampuni.

Ni wachache ambao face zao zinatumika directly kama kina joti, diamond na wengine wachache.

And the winner is Diamond platinumz.
sawa sawa
 
Hamisa mobetto dstv?Darling hair?
Kuna watu hapo nimeona mikataba brand kubwa but still wako very poor why?
Mzee Majuto Hadi matibabu ilikuwa shida..

Watu wa Kati wanapiga sana?

DStv nimeona kama Paula kajala now au??
 
Inawezekana mkuu ndio maana anadaiwa na producer pamoja na kukaa na label ambayo haina MIKATABA ya kueleweka kwa wasanii
kutokudaiwa sio kigezo cha kuyaweza maisha,na kinyume chake.
 
Back
Top Bottom