List ya best performed teams mwaka 2023 timu Yako ni no ngap?

List ya best performed teams mwaka 2023 timu Yako ni no ngap?

Kwa Mjibu wa @optaanalyst hii ndio Orodha ya Vilabu vilivyofanya vyema Barani Afrika kwa Mwaka 2023.

Klabu yako inashika nafasi ya ngapi [emoji116]
1. Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Raja Casablanca
4 wydad Casablanca
5 Far Rabat
6. Pyramids

7 Yanga

8. Petro de Luanda
9. Fus Rabat
10 Fr Belouzidad
[emoji116][emoji116]

16. Simba sc


#FutbalPlanetUpdates

NB Je Chama lako namba ngapi???View attachment 2835909
Hao namba 10 unawafahamu?
 
Sasa hapo mmepata tuzo gani...vyura bana...
 
Yanga kwasababu wanaongoza kundi lao walitakiwa wawe namba 5 hapo juu.
 
Unakuja na vi source vyako vya uchwara...USm Alger waliowakanda wako wapi?.kama ni 2023
 
Na ukitaka kujua ni source uchwara ya utopwox angalia hapo why wasionyeshe timu kuanzia ya 11 wakapoint ya 16...upuuzi mtupu
 
Kwa Mjibu wa @optaanalyst hii ndio Orodha ya Vilabu vilivyofanya vyema Barani Afrika kwa Mwaka 2023.

Klabu yako inashika nafasi ya ngapi [emoji116]
1. Mamelodi sundown
2. Al ahly
3. Raja Casablanca
4 wydad Casablanca
5 Far Rabat
6. Pyramids

7 Yanga

8. Petro de Luanda
9. Fus Rabat
10 Fr Belouzidad
[emoji116][emoji116]

16. Simba sc


#FutbalPlanetUpdates

NB Je Chama lako namba ngapi???View attachment 2835909
Kaangalie rank ya CAF acha kujifariji ninyi utopolo
 
Back
Top Bottom