Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,122
- 4,699
Yanga wanaYanga haina wachezaji nane wala simba sita.
Yanga anao 4 na Simba pia 4.
Metacha kaitwa kwenye kikosi Gani hiko?Yanga wana
Metacha Mnata
Dickson Job
Nondo Mwamnyeto
Bacca
Mudathir Yahaya
Diara
Ki Stephan Aziz
Kennedy Musonda
Jumla wanakuwa nane
Mzee hata aston villa ana uefa ila huwezi kuiconsider ni big club ulayaZambia wana Afcon, vp mwenzangu na mimi?
Walikua wako vizuri sasaZambia wapo vizuri mzee
Ukichukulia kigezo cha kupima ubora wa ligi kwa wachezaji kuitwa kwenye mataifa haya unaweza ukahitimisha kwa kusema Afrika hakuna ligi bora.Honestly kupeleka wachezaji wengi sio shida shida ni wanacheza timu gani huko taifani mwao?
Mfano mtu anaenda kucheza zambia sasa zambia kweli?
Labda ghana , nigeria , mali , ivory coast aitwe mtu ndo tunachukulia uzito kiwango cha ligi kitaonekana kimepanda
Hapo kwa SIMBA toa watakao kaa benchi, wanabaki wangapi?[emoji599]_| Klabu za Afrika ambazo zimepeleka wachezaji wengi AFCON 2023/ 2024
1. Mamelodi [emoji1221] - 11
2. Al Ahly [emoji1093] - 10
3. Pyramids [emoji1093] - 9
4. Yanga SC [emoji1241] - 8
5. Simba SC [emoji1241] - 6
6. Orlando Pirates [emoji1221] - 6
7. TP Mazembe [emoji1078] - 4
8. Nouadhibou [emoji1163] - 4
9. Zamalek [emoji1093] - 3
#Dibahvansports
Je: bado tuendelee kuidharau Ligue yetu ....Kwa Simba na Yanga ....jumla tumetoa players 14
Haina ushindani kwa vilabu vingine tofauti na hivyo viwili tu kwa kila eneoKwa factors zipi ulizo ziona??