Laptop bei nafuu
Member
- Feb 7, 2012
- 81
- 105
- Thread starter
- #21
Ndio zipo nicheck 0652565597Mkuu nahitaji desktop cpu tu, unazo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio zipo nicheck 0652565597Mkuu nahitaji desktop cpu tu, unazo
Nunua tu kioo chengine mkuuPC yangu imechora kimstari kwenye kioo... Kila siku nikiamka nakuta kanaongezeka... Solution gani hapo au ni kununua tu?
Lakini hapa si naweza kuta natumia kwa siku kadhaa, au itapiga shoti?Nunua tu kioo chengine mkuu
Kimstari hicho upande wa kulia...Lakini hapa si naweza kuta natumia kwa siku kadhaa, au itapiga shoti?
Ndio utatumia lakin siku yeyote kinaweza kikajaa chochoteLakini hapa si naweza kuta natumia kwa siku kadhaa, au itapiga shoti?
😭Ndio utatumia lakin siku yeyote kinaweza kikajaa chochote
Sawa asante... Ngoja nijipange nipate hela...Ndio utatumia lakin siku yeyote kinaweza kikajaa chochote
sawa mkuuSawa asante... Ngoja nijipange nipate hela...
Mi nahitaji laptop yenye sifa hizi;
1.CPU INTEL CORE i7-9700K
2.NVIDIA GeForce RTX 2070
3.RAM 16GB
j
Mi nahitaji laptop yenye sifa hizi;
1.CPU INTEL CORE i7-9700K
2.NVIDIA GeForce RTX 2070
3.RAM 16GB
je ipo na bei gani
Ipo mkuu fanya mawasiliano na mim kwenye namba hii 0652565597Mi nahitaji laptop yenye sifa hizi;
1.CPU INTEL CORE i7-9700K
2.NVIDIA GeForce RTX 2070
3.RAM 16GB
je ipo na bei gani
Fanya mawasiliano na mim 0652565597Mkuu nahitaji desktop cpu tu, unazo