List ya massage parlour za Dar

Nyie wa uswahilini mtakandwa na wake zenu,maana wenye jeuri ya kutoa laki au 50 kwaajili ya massage ni wachache sana,alaf mtaanza kuleta fujo na kufumaniana
massage ya nini wewe wakati ukioga kwa maji ya moto ukajisugua na dodoki tu mwili una relax na unakua poa kabisa!
 
ah ah hiyo nyenginee yenyewe ipo pale chang,ombe maghorofani
ilaa wanyoaji na wahudumu waswahili jaman khaaaa esp yuke mdada.mmojaa anaongeaaa hadi kero mtu umeendaa zako kurelaxishwaa mwili lenyewebkinaongeaa balaa!!hadi kero alafu hata wanyoaji wamekaa kiswazi usafi pale kidogo mushkeli though wana ideaa nzuri
 
Jitose tu. Bei utazikuta huko huko kuamzia level za Kimboka hadi nyota tano.
 
Aisee hizi vitu tuwaachie wazungu tu, yani kabinti kamnyooka balaa kanakukanda mgongo hisia zote unawaza unamkaza, hapo akikwambia ugeuke akukande mbongo mnara umesimama 4g
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…