Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
massage ya nini wewe wakati ukioga kwa maji ya moto ukajisugua na dodoki tu mwili una relax na unakua poa kabisa!Nyie wa uswahilini mtakandwa na wake zenu,maana wenye jeuri ya kutoa laki au 50 kwaajili ya massage ni wachache sana,alaf mtaanza kuleta fujo na kufumaniana
ilaa wanyoaji na wahudumu waswahili jaman khaaaa esp yuke mdada.mmojaa anaongeaaa hadi kero mtu umeendaa zako kurelaxishwaa mwili lenyewebkinaongeaa balaa!!hadi kero alafu hata wanyoaji wamekaa kiswazi usafi pale kidogo mushkeli though wana ideaa nzuriah ah hiyo nyenginee yenyewe ipo pale chang,ombe maghorofani
Hapo ANGAZA inahisika aiseeKuna moja ipo Mikocheni, ina huduma ya ziada ni njururu zako tu.Sema mademu wamekondeana uspime.
iko mikocheni maeneo gani mkuu???Hapo ANGAZA inahisika aisee
nenda mitaa ya msasani ziko nyingiMi nataka ya happy ending, niko serous wadau.
nenda mitaa ya msasani ziko nyingi
nyuma ya tanesco mikicheniMsasani wapi, Maandazi road au Peninsula?
HahahaKuna moja ipo Mikocheni, ina huduma ya ziada ni njururu zako tu.Sema mademu wamekondeana uspime.
😂 😂 😂 😂 😂 😂Jitose tu. Bei utazikuta huko huko kuamzia level za Kimboka hadi nyota tano.
kwani unadhani na wazungu minara haiwi 5g?Aisee hizi vitu tuwaachie wazungu tu, yani kabinti kamnyooka balaa kanakukanda mgongo hisia zote unawaza unamkaza, hapo akikwambia ugeuke akukande mbongo mnara umesimama 4g