List ya nchi za kusini mwa jangwa la Sahara zenye zinazoogoza kwa kuwa na Diaspora matajiri huko Marekani

List ya nchi za kusini mwa jangwa la Sahara zenye zinazoogoza kwa kuwa na Diaspora matajiri huko Marekani

Sio wote mkuu wazazi wao wapo na vyeo au walikuwa na connection wengine wao wanataka kufungua njia kwenye familia zao
Wabongo wengi tu wanatoa elimu youtube hata wakenya wengi connection zao wanapatia humo youtube na hata watu wa kuwa host , vijana wanafuautilia zari ana makalio makubwa mda wote watajulia wap haya?
 
Wabongo wengi tu wanatoa elimu youtube hata wakenya wengi connection zao wanapatia humo youtube na hata watu wa kuwa host , vijana wanafuautilia zari ana makalio makubwa mda wote watajulia wap haya?
Kwa hiyo tatizo ni Wabongo hawajui kuchangamkia fursa sio

Wanajali mambo yasiyo na msingi.
 
Hakuna mtu mwenye roho mbaya kama Mtanzania aisee. Hata hapa tu unaweza kuona. Watu wamefurahi balaa kwa vile Watanzania hawajatajwa kuwa wanafanya vizuri kiuchumi huko US kuliko pengine Wakenya au Waafrika Kusini. Hata kwenye ule uzi wa illegal immigrants wa Kitanzania kuwa deported na Trump watu walikuwa wamefurahi balaa utafikiri hao wenzao wakiwa deported kurudi nyumbani wao inawasaidia kwa cho chote. Ni roho mbaya tu, wivu, chuki na husuda.

Naam! Ukienda nje huko kapambane kivyako na kaa mbali na Wabongo kama unataka kupiga hatua. Mbongo anataka wote mbanane hapa hapa Bongo muendeshe boda. Pengine ndiyo maana wakati nchi zingine zinafungulia milango na kuwaruhusu vijana wao waende huko nje wakapate exposure na kuona kama wanaajirika kimataifa, Bongo hata kupata tu passport ya kusafiria bado ni kizungumkuti. Sad! 🚮
 
Mbeba box anaejua kupangilia bajeti na nakusave ni bora kuliko daktari wa MD bongo wap wanaweza lipa dollars 19 kwa saa?
Akilipa bills na mahitaji mengine huko anaeza ku save kiasi gani kwa mwezi?
 
Hakuna mtu mwenye roho mbaya kama Mtanzania aisee. Hata hapa tu unaweza kuona. Watu wamefurahi balaa kwa vile Watanzania hawajatajwa kuwa wanafanya vizuri kiuchumi huko US kuliko pengine Wakenya au Waafrika Kusini. Hata kwenye ule uzi wa illegal immigrants wa Kitanzania kuwa deported watu walikuwa wamefurahi balaa utafikiri hao wenzao wakiwa deported kurudi nyumbani wao inawasaidia kwa cho chote. Ni roho mbaya tu, wivu, chuki na husuda.

Naam! Ukienda nje huko kapambane kivyako na kaa mbali na Wabongo kama unataka kupiga hatua. Sad! 🚮
Huu uzi ni wa kuwapa changamoto wapambane zaidi huko.
 
Back
Top Bottom