List ya "Single Girls" ndani Ya Jf..

hahahhah ujue tutachambwa yule mama ana kichambo halaf bora achambe kiswahili asee sio kichambo cha lugha ya malkia
Akituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.
 
Akituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.
Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe maneno
 
Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe maneno
Hatuishi ng'oooo!! Na ole wake atuchambe. Tutapiga colabo na yule mzaramo wako yaani kichambo sio cha nchi hii. Bora atulie hivyo hivyo akulee ukue kue angalau ujitambue.
 
Akituchamba kimalikia tunamchamba kimasai, asitutanie kabisa. Bahati nzuri lugha yenyewe hatuijui kwahiyo walaa hatutaelewa na haitotuuma.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Na ndiyo maana nimewatafutia wifi wa kimalikia ili muishe maneno
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] na kweli maneno yametuisha na anachamba yule mama alimpa husna makavu aisee mpk huruma
 
Hatuishi ng'oooo!! Na ole wake atuchambe. Tutapiga colabo na yule mzaramo wako yaani kichambo sio cha nchi hii. Bora atulie hivyo hivyo akulee ukue kue angalau ujitambue.
[emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125]
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

hahahhaha lkn naona hawezi kutoka pale kaingia miguu yote miwili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…