List ya Wachezaji wenye Majivuno na Dharau

Christopher Wallace

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2015
Posts
1,479
Reaction score
3,788
Katika soka kuna wachezaji wamebarikiwa sana vipaji vya aina yake. Kuna baadhi yao kwa vipaji hivyo wamekuwa ni wenye kujisifu na kuleta dharau kwa wenzao.

Leo tuwatambue wenye vipaji vikubwa na vya kawaida lakini daima wamekuwa ni wajivuni, wenye kebehi na dharau kwa wenzao.

Mimi naanza na hawa wawili...
1. Zlatan Ibrahimovich

2. Abdoul Halim Humud
 
Wengine ni wacheza viduku
 
Wanaojivuna zaidi ni hawa

1 Neema mtoto wa mama
2 Cr7
3 robinho,huyu dogo bahati nzuri hakufika mbali akapotea, kalikuwa kanajiona sana kama demu.
4 Diego costa, japo huwa ananifurahisha sana na fujo zake 😀😀
5 Luis Nani, mwethiopia huyu, jamaa anawivu sana kwa wenzie
6 Asamoa Gyan ni mwafrika ambae sikutokea kumpenda, ana majivuno sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…