List ya wanawake hatari hapa mjini. Ukimuona mke wako yupo nao toa talaka

Ulichokisem nikweli kabisa mtoa mada.

Niukweli ukitembea na mwizi naww utakua mwizi.

Nakatika Saikolojia mara nyingi sana Mwanadamu hufurahishwa na mwanadamu mwenzake ambaye anamatendo kama yake .

Ningumu kukuta Shamsa ford awe na urafiki wadamu na yule mdada aliimba "nipe macho nioneeeee machoo eeehhh" .

Nmemsahau jina..ila nachotaka sema nikwamba ndege wafanano huruka pamoja.....ukiona mwanamke anaurafiki wa moja kwa moja au kutetea maisha ya hao ulowataja..huyo ni wakumtazama Kwa makini sana


Asiwambie mtu...mwanamke mcha Mungu bana yaan mpaka Raha[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dada zako wale Wawili mliozaliwa nao tumbo moja toka nitoke mbona hujawajumuisha katika hicho Kikosi Kazi chako hapo juu?
Mkuu unajuaje kama mleta Uzi hana ubini na hao bandugu?
 
Mkeo akiwa mbumbumbu ni mbumbumbu tu....mwanamke yeyote mwenye smartphone lazima apite kwenye account za hao watu na nyingine za umbea umbea, shilawadu...utamzuiaje?
We ukiona mkeo kaanza kuleta ka dharau..zibua makofi wawili tu af uone..tatizo wanaume wa siku hizi tunawalea mno wake zetu....mnaiga wazungu wakati IQ za wanawake wa wakizungu ni kubwa kuliko za kwetu...wa kwetu wanahitaji kuwa controlled. PIGA
 
Kama mkeo/ girlfriend wako anaweza kushawishiwa na hao watu, ulishakosea kuchagua kitambo tu.

Unaweza kuweka zulia dunia nzima ili mguu wako usikanyage ardhi, au unaweza kuvaa viatu tu na mguu wako usikanyage ardhi.

Kuwafuatilia hao watu (ardhi) ni sawa na kutaka kuwekazulia dunia nzima (kumkataza mkeo asiwe nao kwenye mitandao,in person etc) ili mguu wako usikanyage ardhi (ili mkeoasichafuliwe0 wakati ungeweza kuvaa kiatu tu (wakati ungeweza kuchagua mke mzuri, kuongea naye vizuri, kumpanyama ya ulimi) na mguu wako usikanyage ardhi vile vile.

Sijui kama mfano umeeleweka.
 
wewe utakuwa wa dar, mimi mke wangu huku unyanyembe anawakaribiaje watu hao, anaanzia wapi
 

Mimi list yangu ni hii, ukiona mke wako anashiriki kwenye moja ya hizi. Piga chini haraka kwa spidi ya chafya:
11. Akiwa mfuasi wa Namaingo
12. Akiwa mfuasi wa network marketing (wakitapeliwa huko stress wanaleta ndani)
13. Wanao shinda kwenye makanisa ya mitume na manabii siku zote za wiki (sasa we una mke mfuasi wa zumalidi una akili wewe?)

nitaleta uzi unaojitegemea
 
Sasa hapo mke wako ni staa mpaka uwakute nao ukiwa uko active unawaza hivi atawaonea wapi atawapatia wapi??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…