List ya wanawake hatari hapa mjini. Ukimuona mke wako yupo nao toa talaka

List ya wanawake hatari hapa mjini. Ukimuona mke wako yupo nao toa talaka

Ukiona mtoto wako yuko karibu na Casto basi soon utamuina Instagram na kishabadirishwa ubini
 
10. Haitoniacha salama,sijui hata nifanyeje
 
Wote hao na wengine wengi kwa kifupi ni machangudoa wanaoishi kwa kutegemea miili yao. Wanatofautiana na machangu wengine kwa sababu tu biashara yao huiendesha kwa level ya juu na wanaume wanaochagua kulala nao wana fedha nyingi.
wanawaje wengi na machangudoa kwa namna moja au nyingine
 
Sie tuliokaribu na Zari the bosslady jee??
 
SASA WE INAKUUMA NINI KAMA MKE WA MWANAUME MWENZIO ANA UNDUGU NA HAO?
 
Kuna utafiti uliokamilika ila kwa sababu maalum hautatolewa officially kwa public! Utafiti wenyewe ni juu ya uhusiano wa kabila la Wema na roho ya ufilisi!!! Hebu kila mmoja pale alipo ajaribu kuwakumbuka watu anaowajua waliooa kabila hilo na hali zao kiuchumi! Binafsi nimekubaliana na utafiti huo kwa 89%
hahaha hilo kabila ni zaidi ya YONO
 
11.Dida Shaibu
12.Junaithar
13.Director Joan
14.Skyner Huniz
15.Wolper
16.Jike Shupa
17.Ladynaa
18.Shamim Mwasha
19.Gigymoney
20.Amberlulu
21.Maimathawajesse

...................nk
ewaaaaa" lakini hiyo list bado inaendelea ..ni balaa " humo kuna wauza bwimbwi na papuchi waliotukuka
 
Kama ex wangu hayupo hapo hiyo list ni batili...

Yule dada anajua sana kufitinisha wapendanao,,nilikua namwitaga mendez [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Bila shaka unakinyongo nao
Mbona wote hao ni wanawake wachacharikaji wanapambana na maisha
Kama Joyce huyo si mwanaharakati wa kutetea haki za wanawake
harakati zipi sasa ...ikiwa hata ndoa yake imemtoa kamasi "" nyinyi ndio mapopoma wenyewe ambao ndio mitaji yao "..
 
Kuna utafiti uliokamilika ila kwa sababu maalum hautatolewa officially kwa public! Utafiti wenyewe ni juu ya uhusiano wa kabila la Wema na roho ya ufilisi!!! Hebu kila mmoja pale alipo ajaribu kuwakumbuka watu anaowajua waliooa kabila hilo na hali zao kiuchumi! Binafsi nimekubaliana na utafiti huo kwa 89%
Ni kabila la kanda zipi?
 
Naona umemchezesha Mbape timu ya yanga Afirika, yani Mange unamchanganya na hawa uzauza wa bongo muvi?
 
Kwa kifupi umetupa list ya manunga yembe ambayo yatazeeka bila ya mume na yatakufa kwa upweke
 
Back
Top Bottom