Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mke wangu anakutana wapi na hao viumbe!!!!??
Sasa mimi Mwajuma Ndala Ndefu nitaanzaje kumzoea Mumaluv, Wema, Lulu au Hamisa?
Wanaanzia instaMke wangu anakutana wapi na hao viumbe!!!!??
11.Dida ShaibuBaada ya msiba wa mtoto Paty, na sinema zinazoendelea nimejifunza mengi haswa baada ya kuona kumbe yaliyokuwa yanasemwa na watu kuwa huu mji wa Dsm kuna wanawake ambao ni Waalimu wa wanawake. Hawa wanapenda maisha ya hadhi, maisha ya instagram, maisha ya kuwapelekesha walio waoa na si wote ila wengi wanapenda mambo ya kwenda kwa waganga. Na kila mwanamke hapa unaweza kusema wana pepo kwa sababu ndani ya maisha yao wamebeba mazito kabisa hadi hawaogopi.
Ninamaanisha ninachokisema. Hawa ndiyo wanawake wa mjini hakuna anaegopa mtu wala chochote, wamezindikwa isipokuwa Mange Kimambi japo Mange ndiyo kiranja wao.
- Mange Kimambi (ukiona mke wako anachat, au yupo karibu na huyu dada basi kuna siku utalia)
- MunaLuv ( Huyu alikuwa wa hatar sana zaman, amewabadili wanawake wengi inawezekana kabadilika ila bado nakushauri asikae karibu na mke wako)
- Shamsa Ford (Huyu atamzururisha mke wake wako mpk atapata bwana mwingine anaeenda china/hongkong)
- Faiza Ally (huyu atamshauri mke wako akumwagie hata maji ya moto au akuchome kisu)
- Joyce kiria ( ukiona yupo karibu na mke wako, walah utakuja kulia, hata kituo cha police utalala au kw makonda)
- Zamaradi Mtetema ( ukishaona girlfriend wako ana ukaribu na huyu, jiandae, atakuacha madhabahuni, kama umemuoa jua atakukimbia, siku zaja)
- Wema Sepetu ( Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na Sepetu baasi ashakuwa mwanamke wa mjini, jiandae kuwa ATM, kuwa na hela tu. Japo hatakuacha wala kukuaibisha, na atakupenda ila lazm ufilisike)
- Lulu Michael (Ukishaona mke wako au mpenz wako yupo karibu na huyu dada. Anza kulia, atakuwa ana siri nzito sana hata mimi nimeshindwa kujua ni ipi)
- Bi Sandra (ukishaona mke wako ana ukaribu na huyu mama basi umeoa mjinga wee jua tu hivyo)
- Hamisa Mobetto ( ukishamuona girlfriend hata anamfuatilia hamisa insta baasi, lazm atakuacha aende kwa watu maarufu)
Insta,magroup ya WhatsappMke wangu anakutana wapi na hao viumbe!!!!??
Halafu hao eti ndio celebs wa Bongo, hahaha kazi kweli kweli11.Dida Shaibu
12.Junaithar
13.Director Joan
14.Skyner Huniz
15.Wolper
16.Jike Shupa
17.Ladynaa
18.Shamim Mwasha
19.Gigymoney
20.Amberlulu
21.Maimathawajesse
...................nk
🙂🙂🙂🙂🙂kilasiku utakuwa mmitandaoni unasemwaKubwa zaidi ni hapo no 5(Joyce Kiria) ukiona mkeo ana ushoga na huyu dada hesabia mke huna.
Wote hao na wengine wengi kwa kifupi ni machangudoa wanaoishi kwa kutegemea miili yao. Wanatofautiana na machangu wengine kwa sababu tu biashara yao huiendesha kwa level ya juu na wanaume wanaochagua kulala nao wana fedha nyingi.Kwenye hii list bora hata Wema.
Basi ujue wewe ni Maiti inayotembea, soon watu wataweka Jamvi nyumbani kwako wakulilie.Vipi ikiwa mamsap ndio kawafundisha hao huo ungungwangungwa ?
Mkeo akiwa na Ushoga na Salama Jabir ............
Angalia Instagram kama amewa"follow" imekula kwakoMke wangu anakutana wapi na hao viumbe!!!!??
Shamim ana ubaya gani?11.Dida Shaibu
12.Junaithar
13.Director Joan
14.Skyner Huniz
15.Wolper
16.Jike Shupa
17.Ladynaa
18.Shamim Mwasha
19.Gigymoney
20.Amberlulu
21.Maimathawajesse
...................nk