List ya wanawake humu ndani ambao wako peace,wasio na shida na watu..(wanawake)..

List ya wanawake humu ndani ambao wako peace,wasio na shida na watu..(wanawake)..

Kweli kila mbuyu na shetani wake mimi list kama hii ukimkosa Heaven Sent naona kabisa umeamua kuwa Jecha

Ningekuwa sijaoa ningeshaenda unyakyusani siku mingi nikampe huyu mtoto jina langu.

Sent using Jamii Forums mobile app

Kwani huruhusiwi kuoa mke wa pili unichukuepo tu na mimi jamani? lol

Ahsante sana kwa hadhi unayonipa siku zote. Kwangu ni kitu kikubwa sana.......
 
Kwani huruhusiwi kuoa mke wa pili unichukuepo tu na mimi jamani? lol

Ahsante sana kwa hadhi unayonipa siku zote. Kwangu ni kitu kikubwa sana.......
Haha hata ningekuwa naruhusiwa kuoa mke wa pili bado ningebaki na mmoja tu ananitosha na nakidhi mahitaji yake naye vivyo hivyo
Besides hupaswi kuwa mchepuko wa yeyote yule someday utaungana na mumeo nanyi mtakuwa mwili mmoja

Nakuombea sana upate mume wa kuendana naye naiona kabisa familia yenu ikiwa moja ya familia ambayo wengi wetu tungetamani tuwe kama nyie.

Busara yako ikutangulie popote na ule ubabe ubabe wenu wa Kinyaki uonyeshe japo kwa busara ...badala ya kumtia makonde jamaa hadharani basi kampigie chumbani

Mimi ni hayo tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brod darling, uhenga huu nao wakati mwingine majukumu yanabana. Ila nipo sana, mimi mwenyewe namiss kweli kuandika magazeti lol. Umemissika
Huyo aliyekuficha dah! Majukumu ya malezi sio sis [emoji39][emoji125][emoji125]
 
Hapo juu nilikuwa natania tu mpendwa, so usiwaze kabisa.

Ameeeeeen nimepokea hayo maombi, and so shall it be IJN

Hahaha kwa kweli ndo najitahidi kuufungamanisha ubabe wangu na busara. (Haki nimecheka hapa; ila nimekuelewa sana). Ubarikiwe sana

Haha hata ningekuwa naruhusiwa kuoa mke wa pili bado ningebaki na mmoja tu ananitosha na nakidhi mahitaji yake naye vivyo hivyo
Besides hupaswi kuwa mchepuko wa yeyote yule someday utaungana na mumeo nanyi mtakuwa mwili mmoja

Nakuombea sana upate mume wa kuendana naye naiona kabisa familia yenu ikiwa moja ya familia ambayo wengi wetu tungetamani tuwe kama nyie.

Busara yako ikutangulie popote na ule ubabe ubabe wenu wa Kinyaki uonyeshe japo kwa busara ...badala ya kumtia makonde jamaa hadharani basi kampigie chumbani

Mimi ni hayo tu .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom