List ya wanawake kumi wanaoshika vyeo vikubwa bongo

Status
Not open for further replies.

Mimi nadhani Joyce Kiria ni zaidi ya hhao wote ni mwana dada aliye amua kupigania haki za wengi pamoja na kuwa elimu yake ni mashaka na kizuri zaidi yeye mwenyewe anaongea ukweli juu ya maisha yake yote.
 
Mimi nadhani Joyce Kiria ni zaidi ya hhao wote ni mwana dada aliye amua kupigania haki za wengi pamoja na kuwa elimu yake ni mashaka na kizuri zaidi yeye mwenyewe anaongea ukweli juu ya maisha yake yote.

Mkuu naona umeiweka vizuri sana - nakubaliana na wewe kabisa. Anapigania haki za wengi na ameonesha kwamba inawezekana. amesaidia wengi sana pia, watu wa kada mbalimbali kuanzia ma-house girl mpaka wanawake ambao ni "more powerful" kuliko yeye. ana uwezo wa ku-interview mtu wa aina yoyote tena kwa ustadi wa hali ya juu. anaweza ile skill ya kuweza kudodosa kitu kutoka kwa "interviewee" kwa namna ambayo ni entertaining. nimeona watangazaji mbalimbali wazuri, kwa kweli anajitahidi.
 
Hujamwelewa! Anamaanisha kwamba baadhi ya hao wamama wame-sacrifice familia zao kufika hapo, eg baadhi wamefika hapo kwa sababu za chupi, therefore hawastahili hiyo recognition.

OOh... Ahsante mkuu... Ni kweli kabisa
 
Acha ushamba wewe!MBONA KUNA WANAWAKE WENYE VYEO VYA " DEPUTY COMMISSIONER OF PRISONS - DCP" HAPA NCHINI NA HUJAWAWEKA? AU HUJUI UKUBWA WA VYEO HIVYO? UNAMWEKA MHAVILE MSHAMBA NINI WEWE" HUO NI MFANO TU WAPO WENGI KATIKA NYANJA ZA KIJESHI KAMA VILE MAJOR (RTD) MADAWILI WA JESHI LA WANANCHI?
ACHA USHAMBA NA THREAD ZAKO!:embarrassed1:
 
Mh.anna makinda amekuwa mbunge wa njombe kusini kuanzia mwaka 1995 na siyo mwaka 1975 kama ulivyoeleza.hayati makwetta ndiye aliyekuwa mbunge mwaka 1975.

Afadhali nilikuwa nataka nitoe proposal ya guinness books
 

Cheo cha jeshi haina maana yoyote si ya kisomi! ! Mguu pande mguu sawa nani anashindwa! Hata mama ntilie anaweza .
 
Mimi nadhani Joyce Kiria ni zaidi ya hhao wote ni mwana dada aliye amua kupigania haki za wengi pamoja na kuwa elimu yake ni mashaka na kizuri zaidi yeye mwenyewe anaongea ukweli juu ya maisha yake yote.

mawazo ya kibavicha hayo. afadhali ungewataja akina ananilea nkya, mama bisimba........
 
umemsahau huyu!
ANNA MAKINDA (spika wa bunge 2010 up todate)
Ni mwanamke wa kwanza kua spika wa bunge Tanzania ,tangu kuanzishwa kwa bunge nchini
 
Jamani, walimu wanawake hakuna kabisa? Hawajafanya makubwa? Bila kujali usomi mimi namfagilia mwalimu wangu aliyenifundisha kusoma na kuandika miaka ileeee. Ni mwalimu Elizabeth aliyekuwa mwalimu wa darasa la kwanza na la pili toka miaka ya 60 shule ya msingi Sinoni, Arusha.. Hakuna aliyepitia mikononi mwake asijue kusoma na kuandika.
 
ina maana subwoofer yeye hana shahada yoyote,hata ya chini hana?
 
mawazo ya kibavicha hayo. afadhali ungewataja akina ananilea nkya, mama bisimba........

Jina lako unaitwa scramble ndiomaana unajibu kinamna hiyo kwani sio akili yako inakwambia bali ni mkakati maalumu wa scrambling for buku 7 pole ndugu.
 
Cheo cha jeshi haina maana yoyote si ya kisomi! ! Mguu pande mguu sawa nani anashindwa! Hata mama ntilie anaweza .
slufay umeniboa...unadhan mguu pande ni rahisi kiivo? Kwanza ushakosea..huwa hakuna "mguu sawa" now if you think ni rahisi jiulize wangapi walikimbia jeshi...jiulize kwann nyambari nyangwine alikimbia kozi ya wiki tatu tu jkt ruvu.
Then again..in as much as i was to agree with you umeniboa ulipochangia kwa dharau.
 
Last edited by a moderator:
Jina lako unaitwa scramble ndiomaana unajibu kinamna hiyo kwani sio akili yako inakwambia bali ni mkakati maalumu wa scrambling for buku 7 pole ndugu.

scrambling for total freedom and self reliance........
 
mbona umewaacha wengi wenye sifazaidi ya izo SALAMA JABIL VP! haingii hapo?
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…