MALCOM LUMUMBA
JF-Expert Member
- Jul 26, 2012
- 21,113
- 65,124
Sijawahi kufunga pm yangu.
Miss Natafuta yuko wapi kwenye list yako? Ni mrembo sana, bonge la jimama na mtaalamu wa kujenga na kupangua hoja za kila 'dizaini'.Baada ya kupotea kidgo na kukuta kuna ka mtindo ka kutoa list sasa nmeamua kuja na list ya wanawake wenye mvuto humu ndani
Ambao kila mwanaume anatamani kuwa nao hawa wafuatao ni warembo haswa hii ni kutona na research niliyoifanya na pia wanashobokewa sana.
1.Girl next-door .ila ni jasusi
2.Shunie.
3.Dark angel.
4.Misstrace . kiportaple
5.Numbisa. Ila ni mchekeshaji kma ebitoke
6.Curious gal. No comment
7.Demi. Shape like vera sidika
8.Maserati..
9.Sky Eclat. Tatzo ni wauswazi
10.Faiza Fox. huyu ni mama yetu lakn ni mrembo
Hawa ndyo wenye mvuto na wanaopendwa zaidi humu
Wapi ?Kwenye msiba
Unatatizo basi uko nyummaHapana sipigi
Nilipita tu kuwajulia hali shemejiHeaven Sent naona unapita kimya kimya.
Nilipita tu kuwajulia hali shemeji
Ukinipa hela naacha kununa.Mhhh ulifunga bwanaa!
Ila sasa usinune basi.
Ukinipa hela naacha kununa.
Basi nakununia hadi utakapoipata.Jamani mbona mimi sina kazi sasa!
Mifuko imetoboka
kwa mimi niliyewahi kuwaona mabinti wa humu bado hapo kuna uliowaaachaBaada ya kupotea kidgo na kukuta kuna ka mtindo ka kutoa list sasa nmeamua kuja na list ya wanawake wenye mvuto humu ndani
Ambao kila mwanaume anatamani kuwa nao hawa wafuatao ni warembo haswa hii ni kutona na research niliyoifanya na pia wanashobokewa sana.
1.Girl next-door .ila ni jasusi
2.Shunie.
3.Dark angel.
4.Misstrace . kiportaple
5.Numbisa. Ila ni mchekeshaji kma ebitoke
6.Curious gal. No comment
7.Demi. Shape like vera sidika
8.Maserati..
9.Sky Eclat. Tatzo ni wauswazi
10.Faiza Fox. huyu ni mama yetu lakn ni mrembo
Hawa ndyo wenye mvuto na wanaopendwa zaidi humu
Basi nakununia hadi utakapoipata.
Ngoja nimuite shost yangu Miss Natafuta aje asome hii commentMiss Natafuta yuko wapi kwenye list yako? Ni mrembo sana, bonge la jimama na mtaalamu wa kujenga na kupangua hoja za kila 'dizaini'.
Huweka picha zake halisi kwenye avatar yake.
Kama sivyo, basi atakuwa ni mwanamke mjanjanja mjanja, kuweza ku 'select' mapicha yanayoendana na haiba yake.
Muorodheshe kwenye list yako, ana sifa stahiki za kuwa mrembo 'wahedi' wa jf.
Jiajiri mapema ili nisiendelee kukununia.Aiiish,π±π±π±π±π±π±π±π±
Ajira zitatoka mwaka 2025 baada Magufuli kutoka madarakani.
Utanichukia tu sasa????ππππ