Demu wanguuuu uyooooMkuu mie Girl next door huwa sijifichi namuelewa hadi sio vizuri.ila yuko serious uyo,nlimfata PM hajawahi nijibu!!ata comments zake anajibu chache sana zenye mantiki!!!Respect
Kwani nimesema namtaka mkuu.nampenda sanaaaaaaaaaa
Mwanamke kwa mwanaume anabaki kuwa mwanamke,hata asome vipiiii au afanye kazi gani still atabaki kuwa mwanamke tyuuuuuUmekosea kusema Sky Eclat ni wa uswazii huyo yupo kwa malikia huko anatibu watuu ww endelea tu unadhani ni size yako..
Ila inawezekana mleta mada hayuko sahihiHiyo list yako naona imeandaliwa na Jaji Jecha
...Mrembo namba 1 hapa JF asiye na makuu ni kipnz changu @rubiii
Chief Economist
Ungekuwa kwenye siasa tungesema umeonyesha ukomavu kisiasa
Hao wako sokoni mie si nishawekwa ndani bebe[emoji85]Hiyo list yako naona imeandaliwa na Jaji Jecha
...Mrembo namba 1 hapa JF asiye na makuu ni kipnz changu @rubiii
Chief Economist
Nitaamin Vipi? Weka Picha Banaaa...Kuandika Tuu...Aitoshiii!!![emoji28] [emoji28]Baada ya kupotea kidgo na kukuta kuna ka mtindo ka kutoa list sasa nmeamua kuja na list ya wanawake wenye mvuto humu ndani
Ambao kila mwanaume anatamani kuwa nao hawa wafuatao ni warembo haswa hii ni kutona na research niliyoifanya na pia wanashobokewa sana.
1.Girl next-door .ila ni jasusi
2.Shunie.
3.Dark angel.
4.Misstrace . kiportaple
5.Numbisa. Ila ni mchekeshaji kma ebitoke
6.Curious gal. No comment
7.Demi. Shape like vera sidika
8.Maserati..
9.Sky Eclat. Tatzo ni wauswazi
10.Faiza Fox. huyu ni mama yetu lakn ni mrembo
Hawa ndyo wenye mvuto na wanaopendwa zaidi humu