List ya watu ambao hawaendi mbinguni..

Uwendi mbinguni
 

Mhubiri 10:11
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi,
mwaguzi hatahitajika tena.


Ufunuo 12:9
Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
 
Nyote hamuendi full stop walahi
Kwa kuwa nyinyi ni wabishi sana na hamna clue what life is walahi
So get lost people walahi
 
Mbinguni ni mahali patakatifu akaapo Mungu mwenye-enzi. Anayewaalika watu huko mbinguni ni Mungu mwenyewe, embu tuache kumpangia nani miongoni mwetu ataenda ama la. Hiyo ni kazi yake na ni kwa mapenzi yake.



Huendi mbinguni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…