List ya watu ambao hawaendi mbinguni..

List ya watu ambao hawaendi mbinguni..

Tusaidiane kuwataja watu ambao hawawezi kwenda mbinguni na sababu kwanini hawataenda mbinguni[emoji3][emoji3].
Mtaje hata kama huyo mtu yupo mtaani kwenu,kazini,kiongozi wako..nk

Mimi naanza na
1-uncle mshana jr...huyu hawezi kwenda mbinguni kwasababu ni mshirikina sana
2-kiranga... Huyu pia hawezi kuingia mbinguni hata akipewa offer ya kuingia mbinguni na akikuta mlango upo wazi,atamuuliza Mungu ninauhakika gani kama hapa ndio mbinguni atapigwa kwenzi moja atakufa tena..
Uwendi mbinguni
 
Mathayo 7:1 Msihukumu, msije mkahukumiwa ninyi.


Luka 6:37 Msihukumu, nanyi hamtahukumiwa; msilaumu, nanyi hamtalaumiwa; achilieni, nanyi mtaachiliwa.

Yohana 7:24 Basi msihukumu hukumu ya macho tu, bali ifanyeni hukumu iliyo ya haki.

1 Wakorintho 4:5 Basi ninyi msihukumu neno kabla ya wakati wake, hata ajapo Bwana; ambaye atayamulikisha yaliyositirika ya giza, na kuyadhihirisha mashauri ya mioyo; ndipo kila mtu atakapoipata sifa yake kwa Mungu.
Barikiwa. sana sana wasaidie wafike mbinguni kwa kuwaombea.

Mhubiri 10:11
Kama nyoka akiuma kabla ya kufanyiwa uaguzi,
mwaguzi hatahitajika tena.


Ufunuo 12:9
Yule joka akatupwa, yule mkubwa, nyoka wa zamani, aitwaye Ibilisi na Shetani, audanganyaye ulimwengu wote; akatupwa hata nchi, na malaika zake wakatupwa pamoja naye.
 
Nyote hamuendi full stop walahi
Kwa kuwa nyinyi ni wabishi sana na hamna clue what life is walahi
So get lost people walahi
 
Mbinguni ni mahali patakatifu akaapo Mungu mwenye-enzi. Anayewaalika watu huko mbinguni ni Mungu mwenyewe, embu tuache kumpangia nani miongoni mwetu ataenda ama la. Hiyo ni kazi yake na ni kwa mapenzi yake.



Huendi mbinguni.
 
Back
Top Bottom