Bitabo
JF-Expert Member
- Sep 27, 2011
- 1,900
- 688
Mkuu ukipata sehemu yenye wanachuo au karibu na maeneo yenye ofisi nyingi basi lazima uuze. Kuna sehemu kama tatu hapa Dar kila nikienda nakuta watu wengi tu na ni zaidi ya miaka 4 jamaa wanatoa huduma tu.26 tangu smart phone zizagae imekuwa kazi