Listi ya wabunge MATAJIRI Tanzania

Listi ya wabunge MATAJIRI Tanzania

Off-topic- Ivi bunge la tanzania nalo linatoa individual expenses report? Kuna uwezekano wa kupata hii kitu?

wahenga wanasema ukifanya kazi hotelini sio unaenda kula nyumbani, unatakiwa ule huko huko hotelini

wabunge nao wanakula huko huko bungen....
 
Kwani hivi dingi yake GT ni (anaitwa) nani? Isije ikawa kuna post anazoweka humu zikawa na uhusiano na mgongano wa kimaslahi! Hata hivyo Mkuu Omega inabidi uwe makini, kwani hata kama unamjua, humu JF kuna sheria za privacy za members !

........huyo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu,sio dingi yake ila kaka yake mkubwa ndio kizito katika shirika fulani na huwa analisifia sana shirika hilo na mafanikio yake.pamoja na kuwasifia kwamba ma ceo wa shirika hilo wako makini.mkiangalia nyuma mnaweza tambua.
 
........huyo kwa mujibu wa mtu wake wa karibu,sio dingi yake ila kaka yake mkubwa ndio kizito katika shirika fulani na huwa analisifia sana shirika hilo na mafanikio yake.pamoja na kuwasifia kwamba ma ceo wa shirika hilo wako makini.mkiangalia nyuma mnaweza tambua.

Sasa haramebee imeingia nuksi!
 
Ni kweli wabunge wote ni matajiri lakini jamaa anataka list ya wanaoongoza kwa wingi wa mali hasa zilizipatikana kiujanjaujanja.
Anataka kujua matajiri ili aanze kuteka nyara na kudai malipo ya bei mbaya ? Huwezi jua humu JF mna watu kibao wa kila dizaini na wengine ni creative(game theory)wa mepya hapa nchini petu !
 
Ni fikra zangu kuwa sehemu kubwa ya wabunge si maskini, kwani maslai yao mengi nikufuru hata kwa sisi wapinga kura kujua, ila wapo matajiRI watafutaji kama ndesamburo,pia mkono
 
GT,
comeon bro...i respect u but i dont see any relevancy kwenye hili.......naamini unamijadala bora zaidi ya kuleta hapa zaid ya haya, Tanzania ni vigumu kujua utajiri wa mtu maana hakuna takwimu zao sehemu....najua mjadala huu ungeuleta kwa namna nyingine kidogo unageleta maana......labda kwa mfano kwanini hao tunazani ni matajiri wakawekeze nje??? viongozi wengi wamewekeza nchi za nje na Taifa wala watanzania hawafaidiki na lolote........ni ubinafsi tu...katika hawa mafisadi ukiangalia nani amefanya kitu cha kusaidia taifa au wananchi..???

najua unakusudi zuli tu, lakni hii mada haitakuwa na ukweli...kuna watu hapa wanaweza wasitajwe lakni wamo na wengine wakatajwa kumbe hawamo....i hopw umenielewa...sipingi hoja ila naona haina Tija kwakuwa hakuna mwenye takwimu za watu atakaowataja, ila atatumia kusikia zaidi...ohh nasikia huyu ana nyumba...kumbe mtu anadaiwa na benki mpaka suruali aliyovaa...
 
Kwani inasaidia nini tukiwaorodhesha? Kuna walio pata utajiri kwa njia ya halali kabisa. Wengine wapeupata kwa jia ya ufisadi.
 
ndesa alikuwa anapesa mingi mno.... siku hizi zimupungua, aliwahi kuseama mwaka 1995 alipokuwa anagombea ubunge, kuwa gari atakayopewa kwa ajili ya ubunge angeitoa pale hospitali ya mkoa Mawenzi ili iwe ambulence, jamaa mmoja akamuuliza je serikali ikiamua kutoa bettle VW wagonjwa watakaaje humo, akasema atatoa Landrover 110 tano kati ya 300 alizonazo.
 
Rostam anaongoza na anawapita wenzake by far!! Inasemekana yeye ndo msukaji wa wizi wote unaofanyikaga serikalini..anatisha na ana camp ya wabunge na mawaziri wako kwenye payroll yake ili kumlinda. Kimsingi ndo anashikilia system ya TZ!
 
Ongeza hawa:
1. Rostam
2. Lowassa
3. Getrude Mongela
4. Mramba
5. Elisa Mollel
6. Chenge
Endelea...................
 
Jamani,

Samahani kidogo... Hivi utajiri aliouliza muweka mada hapa alimaanisha wa kifedha au kifikra na hoja?

Wenye utajiri wa fedha wengi wao huficha details zao na hata fedha zao in offshore accounts. Tuzionazo ni sehemu tu ili wengi tuamini kuwa ndio vyanzo vyao halali vya pesa ilhali wakiwa wanaiibia nchi na serikali kupitia miradi hewa na rasilimali.

Binafsi, ninaoweza kuwabaini wazi wazi ni wale wabunge matajiri wa fikra na hoja. Wengi wetu tumewasikia katika hoja zao na matokeo tumeyaona.

NB: Katika matajiri wa fikra na hoja sitaki kumkumbuka yule aliyeuliza bungeni juu ya uwezo wa njiwa kutaga zaidi ya mayai mawili!!
 
Wabunge woe ni matajiri sana.
Hesabu mshahara wa sh.7 mill kwa mwezi mara kumi na mbili mara tano, tena bila allowances zingine 10mill za nyumba n.k. Utajua hawa watu ni matajiri.
 
Naamini wengi wao ni matajiri wa nyoyo binafsi na masikini wa uzalendo na uchungu wa maendeleo ya nchi na watu wake!
 
Ni kweli wabunge wote ni matajiri lakini jamaa anataka list ya wanaoongoza kwa wingi wa mali hasa zilizipatikana kiujanjaujanja.

Anataka list yeye ni nani? TRA awaongezee kodi au anafanya utafikiti wa majungu, kujua ni jinsi gani wabongo wakikosa cha kujadili huanza kuangapa nonsense
 
Back
Top Bottom