Kuna watu wanaamini Tundu Lisu ataleta maajabu makubwa ktk uongozi wa CHADEMA.
Lissu ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine wa Tanzania au Afrika
Lissu ni mwanasiasa kama wanasiasa wengine wa Tanzania au Afrika
- Makundi ya kumuunga mkono na kumchawia
- Maslahi ya rafiki zake wa karibu kama Lema
- Maslahi yake na familia yake.
- Sio kulamba bali hata kunywa asali