Mbogo nyeusi
JF-Expert Member
- Dec 27, 2019
- 233
- 541
Nimemsikia mh lisu Mara nyingi akiwasemea watumishi wa uma na maasikari kwamba hawajaongezewa mshahara kwa miaka mitano kinyume na katiba,
Kusema mapolisi hawajaongezewa mshahara ni matusi!?
Ni kutusi watumishi wa uma?
Kusema mapolisi hawajaongezewa mshahara ni matusi!?
Ni kutusi watumishi wa uma?