Uchaguzi 2020 Litakuwa ni kosa kubwa kwa Arusha kurudishwa mikononi mwa CCM, msisahau historia ya miaka ya 2010 na kurudi nyuma

Uchaguzi 2020 Litakuwa ni kosa kubwa kwa Arusha kurudishwa mikononi mwa CCM, msisahau historia ya miaka ya 2010 na kurudi nyuma

Vipi kuhusu maendeleo ya watu hapo Arusha? Hayo uliyoyataja si ndiyo mnayapinga!
 
1600171811524.png


1600171846136.png
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.


nadhan usisemee wananchi wao wenyewe wanajua chama gan watachagua
 
Hayo ni mawazo yake haina maana kuyabeba mawazo ya mwingine na kuyatumia, ni kujidhalilisha kifikra.

Arusha ilikuwepo kabla Magufuli hajazaliwa, na maendeleo yataendelea kuwepo hata baada ya Magufuli kupotea, kwasasa Arusha ni Chadema hilo halina mjadala, kama unabisha muangalie huyo Gambo mikutano yake ya kampeni sijui huwa anaifanyia vichochoro gani hata haonekani.


shikilia moyo baada ya october maaana kuna watu watazimia kwa matokeo! kumbe mnajua umuhimu wa barabara alafu mlikua mnapinga nn sasa, ifahamike tu kwamba maendeleo mengi arusha ni baada ya magufuli kuingia madarakan mfano 2 way roads zinazoanzia tengeru mpaka ngaramtoni , na ingine mpaka junction ya sombetini kwenda airport zote ni baada ya magu, watalii wameongezeka double ni baada ya magufuli sasa wananchi wanajua nan achukue jiji
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi madiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
UMEKUMBUKA SHUKA KUMEKUCHA NA MBU WAMESHAKUSHAMBULIA VYA KUTOSHA.
HABALI YA MJINI HAPA ARUSHA NI GAMBO. MWAMBIENI NABII TITO ARUDI KWAO KILIMANJARO.
 
Ni dhahiri kuwa Arusha ni mkoa wa kitalii Tanzania, kwa vivutio vilivyopo Arusha bila shaka Africa nzima hakuna jiji lenye vivutio vingi kama Arusha. Arusha ina vivutio vifuatavyo kwa ukaribu; Tarangire, Lake Manyara, Arusha National Park, Ngorongoro na Serengeti, Oldonyo Lengai, Olvai Godge nk, lakini Arusha ina utajiri wa makabila yaliyotunza utamaduni ambao ni kivutio cha utalii wakiwemo Wamasai, Wabarbaig, Wahadzabe nk

Hadi mwaka 2010 Arusha haikuwa na hadhi kuwa mkoa unaopokea watalii kutoka kila kona ya dunia, ingawa hadi sasa bado hairidhishi lakini angalau vumbi limetoweka. Arusha mitaa ilikuwa vumbi, huduma ya maji ilikuwa ya shida. Sababu kubwa ya kuifanya Arusha iwe vibaya kimiundombinu ni kutokana na genge la wana CCM ambao wakati ule walikuwa wamekamata Halmashauri, kuanzia Mbunge hadi Upmadiwani.

Mwaka 2011 baada ya upepo kugeuka na kuingia CHADEMA wakiongozwa na Mbunge Godbless Lema, Arusha ilishuhudia ujenzi na ukarabati wa miundo mbinu na kufanya angalau mitaa mingi kuwa na kiwango cha lami. Lakini ilishuhudiwa usambazaji wa maji wa kasi zaidi.

Kwa mujibu wa taarifa za uhakika, uwepo wa CHADEMA ndani ya Halmashauri uliwafanya wezi waliokuwa wamejificha kwenye mwavuli wa CCM kupoteana, hivyo kusababisha mapato yatumike kwa usahihi.

Hivyo, itakuwa ni kosa kubwa kwa wana Arusha kuirudisha Arusha mikononi mwa CCM tena, ni vyema kuisoma historia kabla ya kufanya maamuzi.
Upo sahihi mkuu hawatuwezi kukubali kuongozwa na mashetani mkuu
 
shikilia moyo baada ya october maaana kuna watu watazimia kwa matokeo! kumbe mnajua umuhimu wa barabara alafu mlikua mnapinga nn sasa, ifahamike tu kwamba maendeleo mengi arusha ni baada ya magufuli kuingia madarakan mfano 2 way roads zinazoanzia tengeru mpaka ngaramtoni , na ingine mpaka junction ya sombetini kwenda airport zote ni baada ya magu, watalii wameongezeka double ni baada ya magufuli sasa wananchi wanajua nan achukue jiji
Train ya kwanza Arusha ililetwa na mkoloni mbona hutaji?
 
Train ya kwanza Arusha ililetwa na mkoloni mbona hutaji?


nyie si mlisema treni sio kipaumbele chenu ama mmegeuza gia, treni ya pili ililetwa na magufuli na walipokea kama kawaida wananchi na mapenzi yao kwa ccm
 
Back
Top Bottom