Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Huyo nae Anamalizia mechi tu nae anatimuliwaHoja namba 4 ndio tatanishi
Nakumbuka hata kile kipindi nabi apewe mechi mbili zitazoamua abakie au atimuliwe, moja ya utetezi wake alikuwa akilaumu kuwa wachezaji wengi wamesajiliwa sio katika chaguo lake
Kumfukuza kocha halafu kuendelea kubaki na kina kibu, kagere, boko, nk. naona kama kocha kaonewa tu
Atakuwa ni mchawi! Mana hii ni timu ya wachawi[emoji16][emoji16]Mimi huwa nashangaa sehemu moja tu! Watafukuzwa makocha wote wakuu, ila Seleman Matola, huji kusikia akifukuzwa! [emoji848]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]SOKA LAKE NI LA KUSHAMBULIA KAMA NYUKI!
Hoja kutoka kwa Great Thinker! Mwisho wa upeo wa kufikiri ni hapo!Atakuwa ni mchawi! Mana hii ni timu ya wachawi[emoji16][emoji16]
Ndiyo nahangaika kuitafuta namba ya Matola nimpigie,anielekeze mganga wake.Mimi huwa nashangaa sehemu moja tu! Watafukuzwa makocha wote wakuu, ila Seleman Matola, huji kusikia akifukuzwa! [emoji848]