Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Wakuu let us think Literally.
Hoja yangu ni kuwa, Sawa Pablo Leo anafukuzwa Lakini:
1. Je,kuhusu viwanja vya mikoani kuwa ni vibovu, si kweli?
2. Ugonjwa wa Simba hauna tofauti na WA Yanga,wanapishana vipindi tu.
Je, klabu zetu zimetengeneza mazingira ya kuwafanya Hawa wataalam wa soka watimize wajibu wao Kwa mafanikio?
3. Hana plan B,Je mifumo ya timu na aina ya wachezaji tulionao,tuna plan B?
4. Hoja namba 4, Hawa makocha mara nyingi wanakuja na kukuta hizi timu tayari zimeshasajili.
Tunawapa lawama Kwa Hali?
.
Let us think More
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hoja yangu ni kuwa, Sawa Pablo Leo anafukuzwa Lakini:
1. Je,kuhusu viwanja vya mikoani kuwa ni vibovu, si kweli?
2. Ugonjwa wa Simba hauna tofauti na WA Yanga,wanapishana vipindi tu.
Je, klabu zetu zimetengeneza mazingira ya kuwafanya Hawa wataalam wa soka watimize wajibu wao Kwa mafanikio?
3. Hana plan B,Je mifumo ya timu na aina ya wachezaji tulionao,tuna plan B?
4. Hoja namba 4, Hawa makocha mara nyingi wanakuja na kukuta hizi timu tayari zimeshasajili.
Tunawapa lawama Kwa Hali?
.
Let us think More
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app