majiyashingo
Member
- Feb 2, 2011
- 44
- 2
Jamani waungwana hapa jamvini nimerudi tena.
Hivi juzi juzi nimenunua lorry la tani 10 ambalo linafanya kazi zake kuanzia saa moja asubihi hadi saa 12 jioni? Huwa linapumzika mchana tu pale dereva anapopata kifungua mchana mimi kwa kifupi sina utalaamu sana na magari nimepata dereva ila namuona mjanja mjanja kidogo Je disel ya shilingi 75,000/-anaweza kuitumia siku nzima?
Na kidogo humu kuna wataalamu wa mambo hayo je ili anitunzie gari yangu fresh mnahisi mshahara gani nimpatie kutokana na maisha yetu hapa ili mimi wala yeye tusinungunike.
Natanguliza shukrani
Hivi juzi juzi nimenunua lorry la tani 10 ambalo linafanya kazi zake kuanzia saa moja asubihi hadi saa 12 jioni? Huwa linapumzika mchana tu pale dereva anapopata kifungua mchana mimi kwa kifupi sina utalaamu sana na magari nimepata dereva ila namuona mjanja mjanja kidogo Je disel ya shilingi 75,000/-anaweza kuitumia siku nzima?
Na kidogo humu kuna wataalamu wa mambo hayo je ili anitunzie gari yangu fresh mnahisi mshahara gani nimpatie kutokana na maisha yetu hapa ili mimi wala yeye tusinungunike.
Natanguliza shukrani