Gordian Anduru
JF-Expert Member
- Apr 16, 2021
- 369
- 747
hapa ni ukumbi wa TFF
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wakiacha iwe computerized vile viporo lukuki vya Mikia vitapatikanaje?Halafu ratiba za ligi huwa zinachakatwa randomly na computer, hawa wapumbavu wanakaa mezani wanapanga.
Hatupendi hivyo viporo, ila sasa tutafanyaje kama ni sisi peke yetu tunaolibeba soka la Tanzania kimataifa?Sasa wakiacha iwe computerized vile viporo lukuki vya Mikia vitapatikanaje?
Wana jisahaulisha kwamba kupitia viporo hivyo hivyo tumeweza kuwabeba na wao wana shiriki CAF champions league this season ..Hatupendi hivyo viporo, ila sasa tutatafanyaje kama nini sisi peke yetu tunaolibeba soka la Tanzania kimataifa?
Mbumbumbu kwa kulalamika hamjambo.Hawa bodi wamekaa kiupigaji tu, hakuna wanachokijua
Ratiba ilitakiwa itoke at least wiki 4 zilizopita.
Kurahisisha mambo, kupunguza uchovu na gharama kubwa za usafiri ilitakiwa simba na yanga wamalize mechi zote za Kanda ya ziwa kwa msimu. Hivyo hivyo kwa timu za mikoani wakienda dar au Kanda nyingine wapige kambi hata mwezi mmoja ili wacheze mechi zote. Haipendezi namungo anaenda kucheza na kagera halafu anarudi Lindi direct, tena anarudi musoma.. uselessHalafu ratiba za ligi huwa zinachakatwa randomly na computer, hawa wapumbavu wanakaa mezani wanapanga.
Mkuu kwa maoni yangu hii haifai kabisa kiushindani ulio wa hakiKurahisisha mambo, kupunguza uchovu na gharama kubwa za usafiri ilitakiwa simba na yanga wamalize mechi zote za Kanda ya ziwa kwa msimu. Hivyo hivyo kwa timu za mikoani wakienda dar au Kanda nyingine wapige kambi hata mwezi mmoja ili wacheze mechi zote. Haipendezi namungo anaenda kucheza na kagera halafu anarudi Lindi direct, tena anarudi musoma.. useless
Tunalalamika kwa manufaa yako pia ewe gongowaziMbumbumbu kwa kulalamika hamjambo.
Huwa najiuliza, ulaya hasa England, timu inashiriki mashindano mengi, lakini ratiba zinaeleweka kabisa, mwanzo mpaka mwisho wa msimu.Kwenye ratiba tff na bodi ya ligi hawana uwezo!
Wakubali kualika wataalamu hata kutoka ulaya waje watoe semina wao wanapanga vipi ratiba na wanafanikiwa