Huihui2
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 7,021
- 11,475
Kinachoendelea Clouds TV kutoka Leaders club ni aibu tupu. Pastor Mzimbabwe anayeishi London anawaburuza kama kawaida yao. Nawakunbusha kidogo utapeli wake wa zamani hapa.
Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa, ndani ya geneza, lililoletwa toka mochwari, straight kanisani. Akamfufua mtu. Watu wakapinga na kumlaani.
Baada ya siku chache, alikwenda kwenye TV kuomba msamaha. Bado anaendelea kuhubiri mpaka kesho. Na hilo tukio la kumfufua mtu you can google.
Eubert Angel alishikwa anafanya training na watu wakufanyiwa/kupokea muujiza, kwa malipo. Na alikiri. Walishikwa na police waki recruit watu wajifanye wanavilema, kwa malipo.
Walikuwa wanawapa nguo maalumu za kuvaa. Walikuwa wanawapanga ukumbini. Baada ya ibada walikuwa wanawalipa kwa kushuhudia uponyaji.
Na ukichunguza, ibada zao wanapendelea usiku wa kiza kiza. Baada ya kushikwa, walikuwa paraded na palisi, televisions kuwaonyesha. Na wale waliotumiwa wali confess kulipwa pesa kusudi wawa deceive umati.
Yote haya yalifanyika wazi television za SABC, Zimbabwe TV, miaka ile.
Kama alivyo prophet Alfa Lukaku, mzaire , nani ya Johannesburg. Alifanya muujiza wa kumfufua mtu. Aliyejifanya kafa, ndani ya geneza, lililoletwa toka mochwari, straight kanisani. Akamfufua mtu. Watu wakapinga na kumlaani.
Baada ya siku chache, alikwenda kwenye TV kuomba msamaha. Bado anaendelea kuhubiri mpaka kesho. Na hilo tukio la kumfufua mtu you can google.
Eubert Angel alishikwa anafanya training na watu wakufanyiwa/kupokea muujiza, kwa malipo. Na alikiri. Walishikwa na police waki recruit watu wajifanye wanavilema, kwa malipo.
Walikuwa wanawapa nguo maalumu za kuvaa. Walikuwa wanawapanga ukumbini. Baada ya ibada walikuwa wanawalipa kwa kushuhudia uponyaji.
Na ukichunguza, ibada zao wanapendelea usiku wa kiza kiza. Baada ya kushikwa, walikuwa paraded na palisi, televisions kuwaonyesha. Na wale waliotumiwa wali confess kulipwa pesa kusudi wawa deceive umati.
Yote haya yalifanyika wazi television za SABC, Zimbabwe TV, miaka ile.