Live coverage ya bunge la katiba

CEYLON

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2012
Posts
305
Reaction score
141
wana jf,naomba kujuzwa kama kuna matangazo ya moja kwa moja ya bunge la katiba ijumaa hii.
 
Leo ijumaa Bunge la Katiba litaanza saa 11 jioni. Tunatarajia TBC wataonyesha.
 
ahsante kwa taarifa mkuu
 
hii mbona ni saa 11 nothing is going on!
 
TBC1 wanaonesha zao la mihogo! haha haaaaaa!
 
hawa jamaa TBC ikiwezekana wasione aibu at their own time hata kwa kificho wawe wanaenda kwa Tido Mhando wamuulize hivi alikuwa na vision gani, maana naona wanaanza kurudi enzi za TVT
Cha ajabu Television na Radio yetu ya Taifa wameshindwa kabisa kuweka matangazo yao online.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…