Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Loh . . . .makubwa! Uwezo wa kufuta ID kaupata wapi?? mmmmmhKipipi kesho mimi nikiwa kwenye pc ntakurushia live wala sijaifuta shost alafifunlikuwa natumia ID nyingine yeye akatuma huku kwenye nivea alafu akafuta ile Id yangu nlokuwa natumia shost nguvu ziliniishia nkapiga moyo konde tu.kesho ntawapa kitu hicho cc watatukomajee cc is the base of GT at a.k.a usalama wa taifa la JF
Hahahaaa usinichekeshe besti. . . . .ni ye mwenyewe tu na issue zake jamani!
Kwani wewe ni mdhungu!?
Pa1 sana Mpwa. Karibu sana Mwanza.. I hope leo mme enjoy.
unajua nini best...nje ya JF hupenda kuwajua watu kwa uhalisia wao na wala si ID zao. Kwa hiyo siku ukiniambia wewe ndio fulani, wont bother kufikiria vile upo jukwaani bali nitajitahidi kujua the otherside of you!!
unajua nini best...nje ya JF hupenda kuwajua watu kwa uhalisia wao na wala si ID zao. Kwa hiyo siku ukiniambia wewe ndio fulani, wont bother kufikiria vile upo jukwaani bali nitajitahidi kujua the otherside of you!!
Jana hukumwona King'asti?
Tulienjoy saaaaaanaaaaaa si ndio daddy watu8!!!!!!!
Weeee mbayaaaaaa.Unasoma watu kumbe??!!
umeanza sasa na wewe. Hebu acha kuniulizia bwana utaharibu atii
Binafsi nilienjoy sana sehemu ya utambulisho! Inapendeza sana kumfahamu mtu uliyempenda/furahia kujibizana nae bila kumwona.
mkuu wawili nlimkabidhi Bujibuji, mmoja nilimkabidhi Jiwe Linaloishi na mwingine kakadhiwa KakaKiiza kwa wale ulowaacha. wengine uliondoka nao wewe. jana nlikua na kaazi ya kuwaonyesha njia wote waliokuwa tungi. mia(huu ni mning'inio, baadala ya kumquote Mtambuzi kumjibu kuhusu warembo alonikabidhi nimebugii meen. sorry nicas)
Binafsi nilienjoy sana sehemu ya utambulisho! Inapendeza sana kumfahamu mtu uliyempenda/furahia kujibizana nae bila kumwona. Ila nilisikitika sana nilipoambiwa gfsonwin hatoweza kufika sababu ya kufiwa.