Ave Ave Maria
JF-Expert Member
- Apr 22, 2011
- 10,707
- 5,678
Heheheee nimefurahi tu kukutia machoni!Rabeka, nimeitika. Lol
Mkuu nyani uko peku? Au loafers ndo viatu
Njema sana, hujambo Vin Diesel?
Nilikaa meza ulomwagikiwa kinywaji na meza alokuwa amekaa Vin Diesel
Acha kunidanganya.
Meza ile waliokaa wote nawajua.
Hakuna member aliyejitambulisha kwa ID yako.
Juu ulikuwa umevaaje au chini?
Ukinambia hvo tu ntakujua.
Yan pamoja na kujipendekeza kooote ukanifungia vioo sio!!!! Ama kweli asiyekujua hakuthamini!!!!!!
Hilo swali muhimu sana atii...naita majina ya wote waliohudhuria!!
nishakukumbuka.
Afu wewe...
Haya bhana.
Rabeka kaka shemeji?
Im still shocked at how you looked, exactly vin diesel!
Halafu King'asti of all pipo wewe sio wa kuanza kunizingu...hujambo lakini?
Sent from my BlackBerry 9900 using JamiiForums
nishakukumbuka.
Afu wewe...
Haya bhana.
tshirt black,pensi white na chini safari boot
Utanisamahani kaka! Sijambo, hangover tu! Kichwa kinauma na macho hayataki kuangalia. Sijui nipige tena cocktail?
Kaka zile picha zinapatikana vipi?..kama kumbukumbu zangu zipo sahihi wewe ulishika kamera wakati nafungua champaigne!!!