Ama kweli still waya imepata wachambiaji hahahaah
Msisahau kesho kanisani
Nyie mnaoulizia picha . . . si mngeenda ili mkaonane live??
Msisahau kesho kanisani
Saragossa, tuhabarishe zaidi, maana natamani kuja kuchungulia wakati naishi mbali sana.Mbona mi nipo Kebbys hapa sioni kitu kama hicho? Acheni kamba banaa!