My boss charminglady nimesikitika sana kwakunidanganya!
Ha ha......Kokutona umetaja Penasol.....umenikumbusha juzi kati hapa nilimpasulia mtu fudenge usoni.....dah.....nimekumbuka soo mbaya sana......
Hujambo lakini......? Party umekosa ka mimi.......
Furaha tuu my dada!
Ha ha haa, Preta kumbe nawe umo mtu akiingia kwa anga zako?
Siupatiii picha uso wake ulikuwejee.......baada ya PENASOL kutua usoni.
Sijambo shisti, na paty ndo km hivyo tumeikosaaa..... so sad
Ukampa penasol
jamani mie nimemuita mama Ngina ani join hapa baada ya kula bata na nimechukua chumba ili kujipumzisha, niko chumba namba 708, vinywaji vikiisha nipigieni simu tafadhali mfuko bado unaruhusu...........
Ha ha......mtu akinijia vibaya nampa kinachouma......
Ila itabidi uje Chugga tupate Penasol.........namaanisha ujue......
jamani mie nimemuita mama Ngina ani join hapa baada ya kula bata na nimechukua chumba ili kujipumzisha, niko chumba namba 708, vinywaji vikiisha nipigieni simu tafadhali mfuko bado unaruhusu...........
Tenyaaa (Source Madame B) Preta hivi ulijuaje kama watu8 anakamata Grants......!Mweeeee.......halafu watu8 akishakunywa grants ana fujo sana.......
Japo nipo mbali na nyie kimwili......kiroho tupo pamoja kabisa.....
Cheeeeeersssss.......
Hiyo Kontesa usikute recipe zimetoka Mongolia.......ni hatari ujue......
Patia wao hii.....