Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umerudi salama! welkam bak my dear!so do i my dearest!
Sasa mbona hapajakucha umelala??
was amazing! nili-enjoyjeeeee??? i missed u gfsonwin!
mkuu wawili nlimkabidhi Bujibuji, mmoja nilimkabidhi Jiwe Linaloishi na mwingine kakadhiwa KakaKiiza kwa wale ulowaacha. wengine uliondoka nao wewe. jana nlikua na kaazi ya kuwaonyesha njia wote waliokuwa tungi. mia(huu ni mning'inio, baadala ya kumquote Mtambuzi kumjibu kuhusu warembo alonikabidhi nimebugii meen. sorry nicas)Pa1 sana Mpwa. Karibu sana Mwanza.. I hope leo mme enjoy.
Saa 7 kweli hao ni waume na wake za watu,mi nlikuwa hapo pembeni nawaangalia tu Mtambuzi ila punguza kuongea unaongea sana kama kiberiti kilicholowa@watu8 sikujua wewe ni HB namna hiyo mpareeee hahahahah Asprin hahaha akagonganisha magari hajui alonge na lipi nkamwona cacico kanuna mwanzo mwisho lol acha wivu shost
nivea, wewe ulitarajia mshereheshaji awe bubu? pale nilishagonga Kotensa na ndiyo iliyokuwa ikiongea, mie nilikuwa sipo kabisa kiakili bali kimwili..............LOLSaa 7 kweli hao ni waume na wake za watu,mi nlikuwa hapo pembeni nawaangalia tu Mtambuzi ila punguza kuongea unaongea sana kama kiberiti kilicholowa@watu8 sikujua wewe ni HB namna hiyo mpareeee hahahahah Asprin hahaha akagonganisha magari hajui alonge na lipi nkamwona cacico kanuna mwanzo mwisho lol acha wivu shost
Subiri kidogo iongezeke iwe ya watu8...
Si itatiwa maji? Afu mshkaji nikajua utanipitia, ndo nini kunitosa sasa? Inabidi nirudi kwa id ile aisee.
Haya, sie wa masalia ndo tunaibuka. Multiple ID zidumu (unless zinatukana watu)
:shut-mouth::shut-mouth::shut-mouth: