Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Pa1 sana Mpwa. Karibu sana Mwanza.. I hope leo mme enjoy.
mkuu wawili nlimkabidhi Bujibuji, mmoja nilimkabidhi Jiwe Linaloishi na mwingine kakadhiwa KakaKiiza kwa wale ulowaacha. wengine uliondoka nao wewe. jana nlikua na kaazi ya kuwaonyesha njia wote waliokuwa tungi. mia(huu ni mning'inio, baadala ya kumquote Mtambuzi kumjibu kuhusu warembo alonikabidhi nimebugii meen. sorry nicas)
 
Last edited by a moderator:
Saa 7 kweli hao ni waume na wake za watu,mi nlikuwa hapo pembeni nawaangalia tu Mtambuzi ila punguza kuongea unaongea sana kama kiberiti kilicholowa@watu8 sikujua wewe ni HB namna hiyo mpareeee hahahahah Asprin hahaha akagonganisha magari hajui alonge na lipi nkamwona cacico kanuna mwanzo mwisho lol acha wivu shost

Inabidi nikuvute pembeni, hizi hadithi umesimuliwa na nani....unajua sijakuelewa kabisa yaani umekuja bila hata kumng'ata sikio rafiki yako.
 
Last edited by a moderator:
Saa 7 kweli hao ni waume na wake za watu,mi nlikuwa hapo pembeni nawaangalia tu Mtambuzi ila punguza kuongea unaongea sana kama kiberiti kilicholowa@watu8 sikujua wewe ni HB namna hiyo mpareeee hahahahah Asprin hahaha akagonganisha magari hajui alonge na lipi nkamwona cacico kanuna mwanzo mwisho lol acha wivu shost
nivea, wewe ulitarajia mshereheshaji awe bubu? pale nilishagonga Kotensa na ndiyo iliyokuwa ikiongea, mie nilikuwa sipo kabisa kiakili bali kimwili..............LOL
Mkusanyiko kama ule ambapo wengi wanajua seleka zako za kilami enzi za ujana za kufumaniwa ununio, au kuchapwa pochi na changu baada ya kujifanya Mreno, na yale mambo ya kutumia kinu kujisaidia na kusahau ku flash na kuambiwa umefanya vitu vyako kama Tembo............LOL
Ni lazima ujitoe ufahamu ili upate speed ya kuongea, nashukuru kukufahamu japo ulificha utambulisho wako.
 
Last edited by a moderator:
Kuna hili jipya humu jana iligundulika kuwa Marry Hunbig= mzungu mandali aliyekuwa anawapatia watu bana na kwa uchunguzi wangu huyu mtu ana rights za mamods kuban na kufanya chochote kile so its like stevoh aliingua chaka lile ni dume hahahahhahaahh ni taarifa tu mliokuwa party
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom