Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Live From Kebby's Hotel in JF Dar-Wing, WHITE PARTY!!!!!

Hahaha, ina maana haukuniona? Twenzetu tukachune bili ya Bigirita, nimeagiza kitimoto kg 3 na nimewaambia wakiniona wasiniite kwa jina. Member mzoefu mie pale kwa Charlesi. Hehehe
Mtambuzi pale nilikuwa nataka kukamata mwizi meeeen nilijua King'asti yupo si anamzengeaga KakaKiiza nusu bomu langu liteguke na hakutokea pale kwa bahati yake huyu mtoto ningempasua live
 
Last edited by a moderator:
Id hii sooo kaka, si unajua inaheshimika. Nabembeleza hangover hapa, kitanda kina gundi. Sijui hata nafanyaje! Ningeenda kusali labda ingenisaidia kidogo.
Ungetumia ID hii best, ningekupitia haraka mno...
 
Kuna hili jipya humu jana iligundulika kuwa Marry Hunbig= mzungu mandali aliyekuwa anawapatia watu bana na kwa uchunguzi wangu huyu mtu ana rights za mamods kuban na kufanya chochote kile so its like stevoh aliingua chaka lile ni dume hahahahhahaahh ni taarifa tu mliokuwa party
Ile msg alokutumia bado unayo?? Ile ya kimoderator moderator uloisema jana?? Ndo kusema kina Invisible nao wamevamiwa kwenye anga zao . . . . mmmh!!!!
 
Last edited by a moderator:
unajua nini best...nje ya JF hupenda kuwajua watu kwa uhalisia wao na wala si ID zao. Kwa hiyo siku ukiniambia wewe ndio fulani, wont bother kufikiria vile upo jukwaani bali nitajitahidi kujua the otherside of you!!

Id hii sooo kaka, si unajua inaheshimika. Nabembeleza hangover hapa, kitanda kina gundi. Sijui hata nafanyaje! Ningeenda kusali labda ingenisaidia kidogo.
 
unajua nini best...nje ya JF hupenda kuwajua watu kwa uhalisia wao na wala si ID zao. Kwa hiyo siku ukiniambia wewe ndio fulani, wont bother kufikiria vile upo jukwaani bali nitajitahidi kujua the otherside of you!!

Jana hukumwona King'asti?
 
Last edited by a moderator:
Kipipi kesho mimi nikiwa kwenye pc ntakurushia live wala sijaifuta shost alafifunlikuwa natumia ID nyingine yeye akatuma huku kwenye nivea alafu akafuta ile Id yangu nlokuwa natumia shost nguvu ziliniishia nkapiga moyo konde tu.kesho ntawapa kitu hicho cc watatukomajee cc is the base of GT at a.k.a usalama wa taifa la JF
 
Last edited by a moderator:
Kipipi shost nimemisijee kaka yangu Erickb52 ama kweli hii weekend umemkamata kisawasawa hafurukuti nlimwambia hili kabila lako asioe akajifanyaanayaweza mapenzi sasa kila siku PM anasema Kipipi noma eti anataka akakate naniliu yake kukukomesha hahahahaaaaaa
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom