mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,307
- 12,410
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No mtaani kwenu tu kijijini kwetu Makhongo Ikungi magharib Singida hatuna vyote hivyohiyo tozo ndio imesogezea huduma ya afya,maji na elimu ndugu zetu vijijini
Unamwachaje Farid Musa na Kibu, hasa Farid ambaye ana uwezo wa kukaba na kushambulia.Leo jamuhuri ya Tozo inaenda kupindua meza kibabe kabisa ugenini St Mary's Kampala Uganda,,karibuni site tuwaunge mkono
Hii penati tumehujumiwa aiseee...
Sio fair kabisa *****
Dah .. umeandika kama vile umefurahia..Penaaaaaaaaaaaaat
Na mpaka mwenyewe atakufa bado tunanyolewa tuu. Wacha na mzabia nae ajifunze kunyoa🤣🤣🤣Kwako ufungwe utegemee ukashinde ugenini..
Mwinyi aliwai sema Taifa starz ni kichwa cha mwendawazimu
Maneno ni roho,tunamwomba Mzee Mwinyi atengue hii laana kabla hajarudi kwenye udongo.. Tanzania hatusogei kbs kwenye maendeleo ya soka aseeKwako ufungwe utegemee ukashinde ugenini..
Mwinyi aliwai sema Taifa starz ni kichwa cha mwendawazimu