gigabyte
JF-Expert Member
- May 27, 2015
- 5,717
- 6,465
Wangepanga kikosi gani sasa wakati hao ndo wachezaji wetu.Kwa kikosi hicho ni ngumu kuepuka kipigo kingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wangepanga kikosi gani sasa wakati hao ndo wachezaji wetu.Kwa kikosi hicho ni ngumu kuepuka kipigo kingine
We MandongaKichwa cha tahira
Sie aijui tutakujaga shinda mashindano gani kwa kweli ni balaaahakuna timu humo
Tulifukuza kocha wakati tatizo ni letu uwezo mdogo.na tutabadilisha sana bila mafanikio.Dah ndio tumejichokea kabisaaaa....bora tungemuacha mzungu amalizie tuu hii second leg
Manula naye amechoka jamani!Hv manula kwenye hili goli la tatu mmemuelewa ndugu zangu yaan kama anacheza rede jinsi alivyoruka na kuacha lango wazi bora tumefungwa wachezaji nao watasingizia maumivu ya tozo .
Sie tutafukiza ata huyu maana hatuna timu. Hatujui kujenga vijana. Wenzetu ugnda wameanza kujenga toka mashuleni.Tulifukuza kocha wakati tatizo ni letu uwezo mdogo.na tutabadilisha sana bila mafanikio.
Simba au? 🥺Timu ya Karia hii
Ile ni paziaManula naye amechoka jamani!
Hongereni mmejitahidi..jamuhuri ya Tozo inaenda kupindua meza kibabe kabisa ugenini St Mary's Kampala Uganda,,karibuni site tuwaunge mkono
Kwa beki zile mbilikimo lazima awe paziaIle ni pazia
Mungu hasaidii wajingaUwaga Siangalii mechi za T'stars Ila Leo Niko excited sana kuziangalia Leo.
.
Mungu Tunaomba Ushindi Uwe Upande Wetu Leo Hata Kama Uganda Wametangulia [emoji37][emoji120]
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Hata kuiba kura hatujuiwizi wa kura unafanyika kwa ufanisi mkubwa.
Mkuu futa kauli yako