Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Wanabodi,
Niko hapa jengo la Acacia, kwenye Stanbic Biashara Incubator, kuhudhuria debate ya Policy Forum kwenye Breakfast kujadili kuhusu kitu kinachoitwa Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget.
Hapa tunajadili jinsi Tanzania tunavyoibiwa mi fwedha ya kutosha kupitia kitu kinachoitwa illicit financial flows, IFFS,
Ni bahati mbaya sana, sisi Tanzania, media yetu, hatuna uwezo wa kuyaandika haya ama kuyaripoti, kwasababu hizi issues za fedha haramu ni specialised field ambayo kwa media ya Tanzania, sisi bado sana!.
Karibuni.
Paskali
Niko hapa jengo la Acacia, kwenye Stanbic Biashara Incubator, kuhudhuria debate ya Policy Forum kwenye Breakfast kujadili kuhusu kitu kinachoitwa Illicit Financial Flows (A Burden to Tanzania National Budget.
Hapa tunajadili jinsi Tanzania tunavyoibiwa mi fwedha ya kutosha kupitia kitu kinachoitwa illicit financial flows, IFFS,
Ni bahati mbaya sana, sisi Tanzania, media yetu, hatuna uwezo wa kuyaandika haya ama kuyaripoti, kwasababu hizi issues za fedha haramu ni specialised field ambayo kwa media ya Tanzania, sisi bado sana!.
Karibuni.
Paskali