Wapo watakaosema. Ni jinsi
"Watanzania ndivyo mlivyo"
waogopeni sana watu kama hao
naamini bila ya usaidizi wa watu kutoka mataifa ya nje, benki za nje, na fedha za kigeni inawezekana IFF zisingetokea nchini mwetu.
Nonetheless, asante kwa Taarifa naifuatilia kujua na kujifunza mengine mengi.