Miye katika kituo changu nilichopigia kura bibi mmoja mwenye umri kati ya 65 na 70 baada ya kupiga kura. Alisema hadharani kwa walio mstarini kwamba kabadilisha kura yake uchaguzi huu na kumpa Slaa na kuwaomba walio mstarini wasiharibu kura zao. Alisema, "Nawaomba sana mumpigie Slaa na watu wake." kisha akaweka alama ya peace mikono yote miwili basi watu wakaangua kicheko kikubwa. 😛eace:😛eace:😛eace: