Live interview with Mrembo on muosha rungu show

Live interview with Mrembo on muosha rungu show

Mambo usiyoyataka hayo ujue nimekufikilia sana inahusu kutupa faida ndio mambo ya viben 10 hayo dada [emoji1][emoji1][emoji1] moneytalk uwage unaangalia age ya mtu ujue
Shunie Ben 10 mm!

DJ sepetu
 
Japo Mh. raisi hajasema wale jamaa wanawashwa wapi, najisikia ''nawashwawashwa'' moyoni utadhani na mimi ''nimeshastaafu''. Navumilia tu japo huu sio muwasho wa nchi hii

Asante sana stable woman, Nakufurahia sana kunifurahia.
Warmly appreciated.🙂

Over all the years JF niliamua kuwa invisible, siujui member hata mmoja personally ila huu muwasho unaweza nipelekea nikajifunua aisee. Ila moyo piga kazi yako ya msingi buana.

Hahahaaa, kazi njema mpendwa wangu.

Kama ningekua sijaolewa ningefunga na kuomba nimpate Tized ananifurahisha sana[emoji124]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wooow..... Thanks honey!!!!

Sijawahi mamy, siku nikuhojiwa nitahakikisha upo siti ya mbele ingawa naamini haitokaa itokee hiyo jamanii
Naomba nikuhoji mimi.
I promise wii maswali ya maana tu. Hakuna la hogo wala kibamia[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Japo Mh. raisi hajasema wale jamaa wanawashwa wapi, najisikia ''nawashwawashwa'' moyoni utadhani na mimi ''nimeshastaafu''. Navumilia tu japo huu sio muwasho wa nchi hii

Asante sana stable woman, Nakufurahia sana kunifurahia.
Warmly appreciated.🙂

Over all the years JF niliamua kuwa invisible, siujui member hata mmoja personally ila huu muwasho unaweza nipelekea nikajifunua aisee. Ila moyo piga kazi yako ya msingi buana.

Hahahaaa, kazi njema mpendwa wangu.
[emoji15] [emoji15] bora hata umekuja atajisikia faraja sana
 
Japo Mh. raisi hajasema wale jamaa wanawashwa wapi, najisikia ''nawashwawashwa'' moyoni utadhani na mimi ''nimeshastaafu''. Navumilia tu japo huu sio muwasho wa nchi hii

Asante sana stable woman, Nakufurahia sana kunifurahia.
Warmly appreciated.🙂

Over all the years JF niliamua kuwa invisible, siujui member hata mmoja personally ila huu muwasho unaweza nipelekea nikajifunua aisee. Ila moyo piga kazi yako ya msingi buana.

Hahahaaa, kazi njema mpendwa wangu.
Hahaaaa! Karibu sana Tized umejikuta umetajwa humu bila taarifa!
Au kuna wasiojulikana wamekukurupua huko Pm[emoji3] uje huku!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom