LIVE: Kuaga Mwili wa Marehemu ‘Bikira wa Kisukuma’, Leaders Club

LIVE: Kuaga Mwili wa Marehemu ‘Bikira wa Kisukuma’, Leaders Club

Sir Lindege

Member
Joined
Sep 10, 2013
Posts
35
Reaction score
181
MWILI wa aliyekuwa mtangazaji wa EFM Radio ya jijini Dar es Salaam, Seth Katende maarufu kama Bikira wa Kisukuma (31) unaagwa leo katika Viwanja vya Leaders vilivyopo Kinondoni, Dar ambapo baadaye atazikwa katika makaburi ya Kinondoni.



Global TV Online ipo LIVE kukuletea tukio zima la kuaga mwili wa marehemu Seth.
 
Marehemu amefariki vipi?

May all beings attain enlightenment.

Sent from my Kimulimuli
 
Back
Top Bottom