Mtumishi Wetu
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 5,712
- 1,910
Wewe ni mgonjwa tumeisha elewa lengo lako, lakini katiba tunayotaka ni ya kudumu kwa maslahi ya taifa.Chama cha siasa kitakachohubiri na kuchochea fujo na vurugu kwa lengo la kufanya Tz isitawalike kifutwe mara moja.
spika wa marekani ana chama.Kama hujui mambo uliza kwanzamoja ya vitu ambavyo nataka viwe katika katiba mpya
napendekeza SPIKA wa bunge anapochaguliwa aridhie na awe tayari kujitoa uanachama katika chama chake..tuige mfano wa mabunge ya uingereza na marekani, hii itasaidia demokrasia kukua, na kupunguza nguvu ya upande mmoja bungeni.
acha usharobalo, before anakuwa na chama, ila akishachagliwa, anuvua u-chamaspika wa marekani ana chama.Kama hujui mambo uliza kwanza
nashukuru umeongelea swala la SPIKA, maana hiki ni chombo muhimu katika kutunga sheria za nchi, mambo yakipindishwa uku nchi nzima inapinda ,kUNA OFISI ZINAHITAJIKA KUWA HURU KUTOKANA NA UNYETI WA KAZI ZAO:
(I) oFISI YA MWANASHERIA MKUU WA SERIKALI (SASA IMEKUWA KAMA NI TAWI LA CCM)
(II) OFISI YA IGP
(III) TAKUKURU
(IV) DPP
(V) JAJI MKUU (MAHAKAMA)
(VI) USALAMA WA TAIFA
(VII) SPIKA
Yeah......Na chama cha siasa kinachofuga majambazi na kuwafunika huku wakijua ni majambazi kisa kinawafadhili kuendeleza udhalimuna ukibaka wake kifutwe mara moja
acha usharobalo, before anakuwa na chama, ila akishachagliwa, anuvua u-chama
acha pupa wewe, dadisi kwanza