Live: Mkutano wa CHADEMA Arusha, ni kuhusu Rasimu ya Katiba

Live: Mkutano wa CHADEMA Arusha, ni kuhusu Rasimu ya Katiba

Mungi

JF Gold Member
Joined
Sep 23, 2010
Posts
16,973
Reaction score
9,572
Wananchi wapo wengi, wamehamasika na maelezo yanayoendelea kutolewa.

Mapendekezo ya chama katika tume ya uchaguzi ni kwamba Tunataka kuwe na tume huru ya uchaguzi, na Tanganyika Law Society pamoja Zanzibar Law Society waunganishwe kama sehemu ya tume huru ya uchaguzi.

Ibara ya 184. Chama inapendekeza kuwa iongezwe ibara ndogo ya tisa kuwa Wasimamizi wa tume wasiwe watumishi wa serikali (mfano mtendaji)




















Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Dr. Slaa amewasili akiambatana Mabere na Waitara

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Tumekupata mkuu ila usalama vipi hapo wale jamaa wa piliccm wapo
 
Kha ha ha ha ha ha haaaaaaaaaa!

Mungi ama kweli CDM ni sumu ya ccm a.k.a mafisadi.

Namwona Mabele Marando jukwaani.
 
Last edited by a moderator:
wakuu tunaomba picha na up date za nguvu wengne tuko na udhuru hatuwez kuja uwanjan muda huu,mkuu Mungi ubarikiwe sana
 
Mabele anasema serikali ya mafisadi imeweka mikataba feki katika makampuni makubwa na sasa ni dhama ya uwazi na haya yote Warioba ameweka haya ktk rasmu ya katiba. Na sisi kama CDM tunaiunga mkono rasmu hii.
 
Dr Slaa jukwaani na kwa takrban dakika moja tulienda mbele ya MUNGU kuwakumbuka Ndg zetu waliotangulia mbele ya haki.
 
Kuna kijana moja amependekeza mtu mwenye umri wa miaka 18 agombee urais, umati wote umemkataa.



Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Muda huu timu ya Mbowe, Mnyika na Lissu wanatanga Shinyanga, huu mwaka Magamba lazima yatoke....
 
Kuna kijana moja amependekeza mtu mwenye umri wa miaka 18 agombee urais, umati wote umemkataa.
Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums

Huo utaratibu wa Chadema wa kuwapa nafasi wananchi kutoa mawazo yao juu ya uboreshaji wa rasimu ya katiba ni mzuri sana kwakuwa wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho na mustakabali wa nchi yao. Tofauti na maccm yanatembea kila pembe ya nchi na kufanya mikutano ya ndani na wanaccm wenzao na kiuwaandikia nini cha kwenda kuzungumza kwenye mabaraza ya katiba ambayo mengi ni yale ambayo hayakubaliki na watanzania wengi.
 
Huo utaratibu wa Chadema wa kuwapa nafasi wananchi kutoa mawazo yao juu ya uboreshaji wa rasimu ya katiba ni mzuri sana kwakuwa wananchi ndio wenye maamuzi ya mwisho na mustakabali wa nchi yao. Tofauti na maccm yanatembea kila pembe ya nchi na kufanya mikutano ya ndani na wanaccm wenzao na kiuwaandikia nini cha kwenda kuzungumza kwenye mabaraza ya katiba ambayo mengi ni yale ambayo hayakubaliki na watanzania wengi.


Kweli mkuu kwani sasa wananchi wanaelewa kwanini CCM ilikuwa inabagua watu na sehemu za kukusanya maoni ya rasimu ya katiba.
 
Mleta mada japo picha makamanda unajua mkutano wa ngapi huo?kapiga kara2 mbulu na sasa arusha chezea chadema wewe
 
Mabele anasema serikali ya mafisadi imeweka mikataba feki katika makampuni makubwa na sasa ni dhama ya uwazi na haya yote Warioba ameweka haya ktk rasmu ya katiba. Na sisi kama CDM tunaiunga mkono rasmu hii.
Huyu bwana Mabere amejiweka kando muda mrefu kutokana na frustrations za NCCR. 2015 tunamhitaji, kama siyo Rorya, basi jimbo atakoloona linafaa hasa DSM.
 
Back
Top Bottom