Live: Nusu fainali ya challenge cup

Live: Nusu fainali ya challenge cup

vikosi vipo uwanjani sasa, Tanzania bara(tanganyika vs uganda)
 
Wananchi naona wamejaa leo, juma jabu naona kaumia.
 
Kwa ujumla kili staz wanacheza vizuri....gooooli Mrisho Ngasa!
 
Kili staz wanacheza vizuri sana leo!
 
Dah kipofu kaanza kuuona mwezi..sjui ndo mpk mwisho sjui temporarily!
 
Back
Top Bottom