Live on Star Tv Apr 23: Sheria za Kumiliki Silaha

Live on Star Tv Apr 23: Sheria za Kumiliki Silaha

Kulola

Member
Joined
Apr 10, 2012
Posts
9
Reaction score
2
Jumatatu April 23, kwenye kipindi cha Tuongee Asubuhi Star Tv kuna mjadala kuhusu Sheria zinazohusu umilikaji wa silaha nchini.

Tutachambua namna sheria zinazohusu umilikaji wa silaha nchini na mamlaka husika zilivyoshindwa kusimamia sheria hizo katika kudhibiti umiliki haramu wa silaha na biashara haramu za silaha vitu ambavyo ni chanzo cha uhalifu nchini.

Karibu!
 
Back
Top Bottom