Ngoja nisubiri kusikia vituko vya wasomi wa Tanzania pale wanapopewa madaraka!
Najua moja ya mambo atakayoongea kwa tambo na majivuno ni jinsi hotuba ya Magufuli ilivyo-trend duniani huku akijaribu kuaminisha watu kwamba ili-trend in a positive way.
Atataka kuaminisha ili-trend in a positive huku akisahau ili-trend kama tulivyowahi ku-trend hapo kabla kwa kuonekana ni taifa la majuha kwa kuidai Acacia Sh 425 Trillion, bajeti ya nchi kwa zaidi ya miaka 10 huku Market Cap ya hao Acacia wenyewe ilikuwa haifiki hata Sh 5 trillion!