Elections 2010 LIVE ON TBC1: Mdahalo wa Wabunge - Jimbo la Arusha

Ndio zao wanapenda kula vya gizani!
Kweupe hawawezi! Hata babu yao kala winga!
Oooh mara mdahalo hauna umuhimu, atajibu nini akiulizwa amefanya nini miaka 5 iliyopita?

.
Mkulu anaogopa kuulizwa maswali ambayo January Makamba hajayapitia na kumwandikia majibu.
Kama mdahalo wenyewe maswali yatatumwa kwake wiki moja kabla basi yuko yayari kushiriki.
 
CHADEMA:
Kupaata mabasi ya kufika shuleni
Kuongeza ubora wa Elimu
Shule za kata zinaondoa utaifa kwa kuwa wanafunzi wanasoma sehemu moja tu.
 
TLP:
Tuipme Arusha na kutenga viwanja
Kuwafundisha vijana
 
CUF:
Kurudisha michezo shuleni
 
Demokrasia makini:
Kujenga Viwanja
 
CHADEMA na TLP wanatisha?

CCM wameingia mitini?
 
CHADEMA:
Michezo ni Uchumi
Kuinvest Million 100 kila kata zinaweza kupatikana ndani ya miezi 5
Kuanzisha michezo mbalimbali na kutoa ajira
 
SWALI: Uporaji wa Madini kwenda Nje malori kwa Malori.

Mtawatafutiaje masoko wasitapeliwe?
 
CUF:
Kuleta show room matajiri waje kununua
 
CHADEMA:
Wajiunge pamoja na mitaji wachimbe madini kisasa
Waende kwenye masoko makubwa na ya hisa
 
DEMOKRASIA MAKINI:
Waunde chombo kitakachosimamia madini na jinsi ya kuyauza
 
TLP:
Mimi ni mtafiti na mchimba madini (?)
Kuifanya biashara iwe rasmi
 
Swali la Mwisho:

tatizo la watoto wa mitaaani na omba omba. Kuna mikakati gani kukomesha tatizo
 
TLP:

Invest katika watu
Waliopo wape Elimu na Afya
 
CUF:
Kuwajengea makambi wasitoke
 
CHADEMA:
Kujenga makambi
Kuwatunza na kuwapenda
 
MWISHO:
TLP: Kujenga taifa lenye watu +ve. Ahadi zipimwe zitatimizwa
CHADEMA: Msigawanye Kura pelekeni CHADEMA. Wametutukana lakini hatujakata tamaa
CUF: Chagueni CUF kwa maendeleo. Zanzibar tuko mseto. Tuchagueni tuulete bara. watanzania zindukeni na mafisadi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…