majuto mperungu
JF-Expert Member
- Jul 20, 2012
- 394
- 118
pole hapo hutoki tena penda kua mwalimu tuMkuu mimi nimechaguliwa Education na ninataka kubadili sasa kuna tangazo wanadai wale wa Education hawaruhusiwi kuhama kozi. Je hii ilikuwepo miaka yote au imeanzia kwetu? Je Inawezekana ikawa ni njia yakupunguza wingi wa maombi ila wanaruhusu chinichini?
UDSM hakuna kozi au Idara rahisi.Urahisi utaufanya wewe kwa kuweka bidii na kujituma zaidi. Usikose vipindi mkuu.Nidhamu iwepo kwa Wahadhiri na wengineo.Utafanya vyema sana.Asantechoosen me nlikua naomba kujua kutoka kwako kuhusu hii course BA in economics ya apo ud coz nasikia kua department yake sio nzur na wanabana sana maksi cjui kuna ukweli ndani yake
Kiujumla,huo ni msimamo wa chuo kwasasa.Waweza kubadilika ikibidi.Lakini msimamo huu una manufaa.Ni kwasababu wote wa Elimu wanapata mkopo asilimia 100.Pia hii ni sera ya Serikali kuongeza idadi ya walimu. Njoo kwanza ukijiandaa kwa loloteMkuu mimi nimechaguliwa Education na ninataka kubadili sasa kuna tangazo wanadai wale wa Education hawaruhusiwi kuhama kozi. Je hii ilikuwepo miaka yote au imeanzia kwetu? Je Inawezekana ikawa ni njia yakupunguza wingi wa maombi ila wanaruhusu chinichini?
mh hapo umenidanganya ile ya kucheza kiduku na kupewa cousewk ni ngumu ileUDSM hakuna kozi au Idara rahisi.Urahisi utaufanya wewe kwa kuweka bidii na kujituma zaidi. Usikose vipindi mkuu.Nidhamu iwepo kwa Wahadhiri na wengineo.Utafanya vyema sana.Asante
Kiujumla,huo ni msimamo wa chuo kwasasa.Waweza kubadilika ikibidi.Lakini msimamo huu una manufaa.Ni kwasababu wote wa Elimu wanapata mkopo asilimia 100.Pia hii ni sera ya Serikali kuongeza idadi ya walimu. Njoo kwanza ukijiandaa kwa lolote
Mkuu majuto mperungu,kozi ngumu ni ile anayosoma mwenzako.Fine and Perfoming Arts ni ngumu sana Mkuu. Ndiyo maana wewe hujaweza kuisomamh hapo umenidanganya ile ya kucheza kiduku na kupewa cousewk ni ngumu ile
Kiujumla,huo ni msimamo wa chuo kwasasa.Waweza kubadilika ikibidi.Lakini msimamo huu una manufaa.Ni kwasababu wote wa Elimu wanapata mkopo asilimia 100.Pia hii ni sera ya Serikali kuongeza idadi ya walimu. Njoo kwanza ukijiandaa kwa lolote
mh ningesoma ile ni mabanda tu ningepataMkuu majuto mperungu,kozi ngumu ni ile anayosoma mwenzako.Fine and Perfoming Arts ni ngumu sana Mkuu. Ndiyo maana wewe hujaweza kuisoma
DUCE ni tawi la UDSM.Wana hostel zao kule kule.Ondoa hofu MkuuANY IDEA KUHUSU DUCE..make me nimepangwa mbal na natoka mbal mikoan,je hostel vp?
Kwa mwaka wa kwanza wote ambao mwaka huu wataitwa 'Tindikali' kama sisi tulivyoitwa 'Tsunami' mwaka 2005,wanaweza kuniuliza jambo lolote kuhusu UDSM ilimradi tu liwe la kumjenga na kumuimarisha muulizaji.
Karibuni!
Kwa mwaka wa kwanza wote ambao mwaka huu wataitwa 'Tindikali' kama sisi tulivyoitwa 'Tsunami' mwaka 2005,wanaweza kuniuliza jambo lolote kuhusu UDSM ilimradi tu liwe la kumjenga na kumuimarisha muulizaji.
Karibuni!
hiv mkuu Kwenye ile medical fee Kwa wale ambao tunatumia Bima ya Afya itakaaje hapo?Kwa mwaka wa kwanza wote ambao mwaka huu wataitwa 'Tindikali' kama sisi tulivyoitwa 'Tsunami' mwaka 2005,wanaweza kuniuliza jambo lolote kuhusu UDSM ilimradi tu liwe la kumjenga na kumuimarisha muulizaji. Karibuni!
Swali zuri princess J. Kwanza jua kuwa kozi husika ziko Koleji tofauti. Ya kwanza ipo CoICT na ya pili iko CoET.Lakini,waweza kubadili kozi zako kwa kuandika barua kwa Mkurugenzi wa Shahada za Awali na kujibiwa.Lakini lazima uwe na sifa za kozi husika unayotaka kuhamia.Pia lazima kuwe na nafasi ya wewe kuhamia kozi husika-Mining Engineering.Asante